Warioba Anataka Nini Hasa?

Warioba Anataka Nini Hasa?

- Kuna swali moja linanitatanisha sana kwamba exactly Warioba anachokitaka hasa ni nini? Ameteuliwa kuongoza tume ya kukusanya maoni na sio siri badala ya kukusanya maoni ametengeza maoni na kuwa shujaa wa kutupasua Taifa, sasa ameshakabidhi maoni lakini kila siku kwenye vyombo vya habari kushindana na wasiotaka Serikali 3 WHY? Jana kuna mahali kwa maneno yake mwenyewe amesema kuna sehemu ambazo alijua kwamba Viongozi wa CCM wamepitia kwa hiyo maoni ya wananchi wake hakuyasikiliza kwa sababu aliamini wameambiwa cha kusema, sasa huo utaalamu Warioba ameutoa wapi na ni kweli Sheria ya Tume ilimruhusu kuamua achukue maoni ya nani na aache ya nani?

- Warioba nminataka kuamini ni msomi amewakilisha maoni yake kama alivyoombwa na Taifa, sasa vita ya nini hasa na wasiokubali maoni yake? Kwa kweli ninapata taabu sana kumuelewa sijawahi kusikia wala kuona something like this before, Warioba aliongoza Kamati kama hii ya Rushwa chini ya utawala wa Mkapa, kwanza hata ile ripoti sijui iliiishia wapi na sijawahi kumsikia Warioba akilalamika au akitetea ile ripoti, sasa kwenye hili la kulilia Serikali ya Tanganyika mbona ana vita vikubwa sana na Taifa kwamba ni lazima wote tukubali mawazo yake tu?

- AT SOME POINT SASA CCM TUKAE CHINI NA KUTAFAKARI EXCATLY HUYU MZEE ANATAKA NINI KWENYE CRIMINOLOGY TUNASEMA THERE IS SOMETHING BIGGER THAT WHAT WE ARE SEEING HERE WITH OUR EYES, HAIWEZEKANI NA NINASHINDWA KUAMINI KINACHOENDELEA, Warioba ameshawakilisha maoni ya supposedly tume yake na kwamba ndio maoni ya wananchi, mjumbe wa Bakwata amesimama bungeni na kusema wazi kwamba kilichosemwa kwenye Tume ya Warioba sicho walichomwambia, tunaambiwa kwamba kuna sekta nyingi sana za Serikali ambazo zilitaka Serikali 2 Warioba wala hakuweka maoni yao kwenye Rasimu, I mean why all these from one man?

- HIVI KWELI CCM MPAKA TUMEJIRIDHISHA KWAMBA WARIOBA NI ONE MAN DOING ALL THESE OPPOSITION? HAPANA MIMI SIAMINI KABISA KUNA SOMETHING BIGGER THAN WHAT WE ARE SEEEING WITH OUR EYES WHAT IS THAT? WHAT IS THAT? WHO IS INVOLVED? WHERE? WHY? WHAT?

- I MEAN CCM NA WALE WOTE TUNAOTAKA SERIKALI 2 NI LAZIMA TUKAE CHINI NA KUTAFAKARI ZAIDI YA TUNAVYOFANYA SASA, SOMETHING IS A MISS HERE LAZIMA KUNA A BIGGER PICTURE BEHIND ALL THESE!!

- SOMA GAZETI LA JAMBO LEO JUMAPILI I WILL BREAK DOWN THESE THINGS KAMA KAWAIDA WARIOBA ANATAKA NINI HASA?

Le Mutuz System

umetokea wapi saa hizi wewe? ulikuwa wapi muda wote huo tokea maoni yanachukuliwa? ulikuwa wapi wakati jakaya kiwete anamteua warioba? mbona hukumshauri amteue mzee john malecela awe mwenyekiti wa tume? ulikuwa wapi sema? umetoka kukameruniwa ndo unakuja kuoshea t a k o hapa? huna haya wewe kubwa jinga hili
 
Serikali mi mbili tu bac warioba mwenyewe kavaa joho la shujaa wa muungano sasa unasemaje c angegoma kama yy mwanaume,njaa tu ilimsumbua akabeba maoni ya wapenda fedha
 
[video=youtube_share;5gvZyIJkTFY]http://youtu.be/5gvZyIJkTFY[/video]
 
Asingefanya alichokifanya wala msinge mwandika humu
 
Sidhani kama Warioba au wanosema Serikali tatu au Serikali ya nkataba kuwa wanataka kuvunja Muungano. Warioba kaeleza vizuri kabisa kuwa kwa kuwa Zanzibar kwa sasa wana kila kitu kinachoashiria wana nchi yao basi ni lazima huu muungano uwe wa nchi mbili zilizoungana, na ili uwe na nchi mbili zilizoungana, hii nyingine iko wapi?

Mantiki tu inaonesha kuna Muungano wa nchi mbili, sasa badala ya wengine kukubali kuiita Tanganyika wanaiita Tanzania Bara, hivi hii nchi Tanzania Bara ilitoka wapi na iliandikishwa wapi na hili jina la Tanzania Bara limetokea wapi?

Muungano ni kati ya Tanganyika na Zanzibar ndiyo imeunda Tanzania. Hakuna nchi iitwayo Tanzania bara wala Tanzania visiwani. Ikiwa kuna nchi inaitwa Tanzania bara na Mafia si kisiwa? tuseme iko Tanzania visiwani> na Rais wake ni Sheni? mbona haina muwakilishi kwenye baraza la wawakilishi? na Ukerewe si kisiwa, nayo ni Tanzania visiwani?

Kwenye hili tuweni wa kweli na tusifate chama tuwe Watanzania tulioungana kutoka Zanzibar na Tanganyika, kila mmoja kati ya nchi hizi mbili awe na haki ya kujiamulia mambo yake bila kuingiliwa na mwingine ila yale yaliokubaliwa kwenye Muungano tu.

We have a loooooong way kuifanya Zanzibar siyo nchi. Labda Wazanzibari wenyewe wawe wamelala na wakubali kutawaliwa na kufanywa ni himaya ya Tanzania.

Uoga wa nini mbona Warioba haogopi?
W. J. Malecela umemuelewa dada FaizaFoxy?
 
Last edited by a moderator:
Sidhani kama Warioba au wanosema Serikali tatu au Serikali ya nkataba kuwa wanataka kuvunja Muungano. Warioba kaeleza vizuri kabisa kuwa kwa kuwa Zanzibar kwa sasa wana kila kitu kinachoashiria wana nchi yao basi ni lazima huu muungano uwe wa nchi mbili zilizoungana, na ili uwe na nchi mbili zilizoungana, hii nyingine iko wapi?

Mantiki tu inaonesha kuna Muungano wa nchi mbili, sasa badala ya wengine kukubali kuiita Tanganyika wanaiita Tanzania Bara, hivi hii nchi Tanzania Bara ilitoka wapi na iliandikishwa wapi na hili jina la Tanzania Bara limetokea wapi?

Muungano ni kati ya Tanganyika na Zanzibar ndiyo imeunda Tanzania. Hakuna nchi iitwayo Tanzania bara wala Tanzania visiwani. Ikiwa kuna nchi inaitwa Tanzania bara na Mafia si kisiwa? tuseme iko Tanzania visiwani> na Rais wake ni Sheni? mbona haina muwakilishi kwenye baraza la wawakilishi? na Ukerewe si kisiwa, nayo ni Tanzania visiwani?

Kwenye hili tuweni wa kweli na tusifate chama tuwe Watanzania tulioungana kutoka Zanzibar na Tanganyika, kila mmoja kati ya nchi hizi mbili awe na haki ya kujiamulia mambo yake bila kuingiliwa na mwingine ila yale yaliokubaliwa kwenye Muungano tu.

We have a loooooong way kuifanya Zanzibar siyo nchi. Labda Wazanzibari wenyewe wawe wamelala na wakubali kutawaliwa na kufanywa ni himaya ya Tanzania.

Uoga wa nini mbona Warioba haogopi?

Kumbe unapovua green uniform huwa unamwaga mantiki. Kuanzaia sasa nitakuwa nakusoma tena kusudi nifaidi zile post zako ambazo unakuwa kwenye white uniform kama hii; zile za kwenye green uniform ya Magogoni zilizojaa mipasho huwa zina pumba nyingi sana.
 
ukawa leo live on stage... Sasa subiri wazee wamwage chumvi hapo sijui mtatokea wapi leo??? Si mmeng'ang'ania serikali mbiliiii!!! Sasa dawa inapatikana leo kibanda maiti. Karibu usikilize yakuingie uelimike.
 
Achen upimbi hoja za warioba zinaeleweka sana sasa naona mnajitoa ufahamu jibuni maswali yake saba sio mnabwabwaja
 
- Kuna swali moja linanitatanisha sana kwamba exactly Warioba anachokitaka hasa ni nini? Ameteuliwa kuongoza tume ya kukusanya maoni na sio siri badala ya kukusanya maoni ametengeza maoni na kuwa shujaa wa kutupasua Taifa, sasa ameshakabidhi maoni lakini kila siku kwenye vyombo vya habari kushindana na wasiotaka Serikali 3 WHY? Jana kuna mahali kwa maneno yake mwenyewe amesema kuna sehemu ambazo alijua kwamba Viongozi wa CCM wamepitia kwa hiyo maoni ya wananchi wake hakuyasikiliza kwa sababu aliamini wameambiwa cha kusema, sasa huo utaalamu Warioba ameutoa wapi na ni kweli Sheria ya Tume ilimruhusu kuamua achukue maoni ya nani na aache ya nani?

- Warioba nminataka kuamini ni msomi amewakilisha maoni yake kama alivyoombwa na Taifa, sasa vita ya nini hasa na wasiokubali maoni yake? Kwa kweli ninapata taabu sana kumuelewa sijawahi kusikia wala kuona something like this before, Warioba aliongoza Kamati kama hii ya Rushwa chini ya utawala wa Mkapa, kwanza hata ile ripoti sijui iliiishia wapi na sijawahi kumsikia Warioba akilalamika au akitetea ile ripoti, sasa kwenye hili la kulilia Serikali ya Tanganyika mbona ana vita vikubwa sana na Taifa kwamba ni lazima wote tukubali mawazo yake tu?

- AT SOME POINT SASA CCM TUKAE CHINI NA KUTAFAKARI EXCATLY HUYU MZEE ANATAKA NINI KWENYE CRIMINOLOGY TUNASEMA THERE IS SOMETHING BIGGER THAT WHAT WE ARE SEEING HERE WITH OUR EYES, HAIWEZEKANI NA NINASHINDWA KUAMINI KINACHOENDELEA, Warioba ameshawakilisha maoni ya supposedly tume yake na kwamba ndio maoni ya wananchi, mjumbe wa Bakwata amesimama bungeni na kusema wazi kwamba kilichosemwa kwenye Tume ya Warioba sicho walichomwambia, tunaambiwa kwamba kuna sekta nyingi sana za Serikali ambazo zilitaka Serikali 2 Warioba wala hakuweka maoni yao kwenye Rasimu, I mean why all these from one man?

- HIVI KWELI CCM MPAKA TUMEJIRIDHISHA KWAMBA WARIOBA NI ONE MAN DOING ALL THESE OPPOSITION? HAPANA MIMI SIAMINI KABISA KUNA SOMETHING BIGGER THAN WHAT WE ARE SEEEING WITH OUR EYES WHAT IS THAT? WHAT IS THAT? WHO IS INVOLVED? WHERE? WHY? WHAT?

- I MEAN CCM NA WALE WOTE TUNAOTAKA SERIKALI 2 NI LAZIMA TUKAE CHINI NA KUTAFAKARI ZAIDI YA TUNAVYOFANYA SASA, SOMETHING IS A MISS HERE LAZIMA KUNA A BIGGER PICTURE BEHIND ALL THESE!!

- SOMA GAZETI LA JAMBO LEO JUMAPILI I WILL BREAK DOWN THESE THINGS KAMA KAWAIDA WARIOBA ANATAKA NINI HASA?

Le Mutuz System

Hebu muwe na adabu basi kwa huyu mzee haiwezekani mumwombe mtu awafanyie kazi tena kwa uaminifu mkubwa kiasi kile leo hii hamna hata shukrani matokeo yake mnamtukana mzee wa watu hadharani namna hii
Nasema tena MUWE NA ADABU KWA MZEE WARIOBA
 
Hakuna kitu kibaya kama umasikini wa fikra na hufanya tuwe masikini yaani unakaa afu unaandika utumbo..duh!
 
- Warioba anajua kwamba bungeni kwenye uamuzi hakuna kura za Serikali 3 sasa anapigania nini hasa? Mimi naomba kusema wazi bila kuficha sina heshima na kiongozi yoyote anayeshauri kuvunja Muungano, ili u-replace na nini hasa?

Le Mutuz System
Wacha kumlisha maneno ya Uongo Mzee wa watu wewe, wapi kasema anataka kuuvunja Muungano?
Amezungumzia kua kulikua na Option tatu;
1) Serikali Moja (Ya Muungano tu),
2) Serikali Mbili (Kama zilivyo sasa) na
3) Serikali Tatu (Mnayoikataa)

Hakuna aliposema kila mtu afe na chake (Muungano Ufe)
 
Sasa nyinyi Ccm mbona amtaki kujitambua mumeng'ang'ania warioba anataka kuvunja muungano mbona hamjibu hoja za warioba nyinyi maccm, Munakazi ya kutuaminisha kuwa warioba anataka vunja Muungano. Kama nyinyi munania ya kuulinda muungano aliouwacha baba wa taifa na karume basi turudini kwenye serikali moja kwa kuwaambia wazanzibari waondoe katiba ya zanzibar maana ile ndio itakuwa kama upawa wa kuamisha mamlaka yaliyo kwenye muungano kupeleka zanzibari na mwisho wa siku muungano hautakuwa salama.
 
Mnajua mtawatisha wananchi lakini kama msipowatisha jiandaeni kuaibika, nimetoka mikoa miwili ya kanda ya ziwa na nilikuwa vijiji wananchi wengi wako upande wa serikali 3, wao wanadai kama ni muungano wenye tija basi twende seriali 1, na siyo 2 kama imeshindikana wanataka Tanganyika yao.

- Warioba anataka nini hasa? Ripoti amekabidhi tayari sasa si ni haki ya wengine kuichambua ripoti yake inapochambuliwa anapiga kelele sana why? Amepewa kila nafasi ya kuchambua ripoti yake sasa atulie, kadri anavyozidi kujibu atajibiwa tu afike mahali atulize boli atucahie wanachi tuamue, kura za Serikali 3 hazipo yeye mwenyewe anajua hilo,

- UKAWA wanalijua hilo kwamba hawana chance sasa yeye anakazania nini hasa sijaelewa bado!!

Le Mutuz System
 
- Soma tena mada kaka hapa sijauliza credibility ya Warioba ninauliza anataka nini maana anayoyafanya sio madogo anatafuta nini hasa?

Le Mutuz System
Je wewe unatafuta nini kwa kumuandama andama mzee wetu? Sijui kama unakumbuka kuwa wakati mzee John (nadhani baba yako mzazi) akiwa waziri mkuu na makamu wa kwanza wa Rais chini ya Alhaj Mwinyi bunge la jamhuri lilipitisha kuihuisha Tanganyika toka koti la Tanzania. Sasa cha ajabu kwa Warioba ni nini wakati yeye anafafanua kazi aliyoifanya baada ya kuona mazuzu wanaipotosha?
 
Wacha kumlisha maneno ya Uongo Mzee wa watu wewe, wapi kasema anataka kuuvunja Muungano?
Amezungumzia kua kulikua na Option tatu;
1) Serikali Moja (Ya Muungano tu),
2) Serikali Mbili (Kama zilivyo sasa) na
3) Serikali Tatu (Mnayoikataa)

Hakuna aliposema kila mtu afe na chake (Muungano Ufe)
Muongo ni muongo tu mkuu, hata simba anaweza kusema MBUZI japo mbuzi ana pembe. Mwenyezi Mungu anawaumbua sasa na wananchi tunawafahamu vema hawa.
 
[video=youtube_share;5gvZyIJkTFY]http://youtu.be/5gvZyIJkTFY[/video]

Faiza, umewemleta hapa huyu kihiyo na hoyuba yake ili abishane na Malechela au Warioba?
maana vitu anavyoongea yeye mwenyewe haelewi anasema nini!!
" Mambo wanayoyataka wa Zenji watawapa!" siku zote walikuwa wapi kuwapa?
Inakuwaje ZNZ ndo wapewe, wasio wa Zenji je?
 
Nilitarajia kuwa ungekuja hapa kutueleza anachokitaka Warioba.
Kwa kukusaidia ni hivi; Nenda kwa aliyewafundisheni kumshambulia na kumtukana Warioba halafu akawaacheni solemba na kwenda kumpa Nishani katika siku ya Muungano. Muulize hivi yeye na Warioba wana Agenda gani ambayo iliyojificha wasiyotaka watanzania wengine wajue?
Tena umuulize Je, Mafundisho aliyowapa ya kumshambulia Warioba ilikuwa ni kipimo cha akili kwa wana CCM kama walilielewa somo la kuwa za kuambiwa changanya na zako?
Tena usisahau kumuuliza kuwa je, aliposema mjiandae kisaokolojia, alimaanisha nini? Maoni ya wananchi au chenga za mwili na namna atakavyowalisheni matango pori na kuwaacha solemba? Na umuulize yeye yupo wapi hasa, Upande wa Warioba/wananchi au wa wahafidhina wa Chama.

Please do so na utujie na majiu utakuwa umetusaidia sna Mkubwa.Yangu ni hayo tu.
Wasalaam.


Rais wetu mtukufu oyeee, udumu kwenye kiti chako milele
 
Back
Top Bottom