Lucchese DeCavalcante
JF-Expert Member
- Jan 10, 2009
- 5,471
- 734
Jamani wa dada mbona kuka kihasara kama kuwa uchi hawaoni kuwa si kuzuri? tunaelekea wapi?
Wanawake wakiwezeshwa WANAWEZA. Si mnaona?
Hapo aliyesoma sana sana kaishia kidato cha nne daraja la O
Mbona wengine wanasema eti wapo hadi wenye degree hapo.....Hapo aliyesoma sana sana kaishia kidato cha nne daraja la O
Hakuna mke ndugu yangu hapo...Naombeni kuuliza swali hasa kwa wanaume....eti kati ya hawa anayefaa kuwa mke ni yupi? Na kwanini?
Wanawake wakiwezeshwa WANAWEZA. Si mnaona?