Dereck Tito
Senior Member
- Feb 8, 2011
- 102
- 15
Wote wanafaa kuwa wake, unaweza kuoa na ukaweka ndani na akakuheshimu siku zote. Kwani kipi atakiona kigeni hata akiangaikie? mradi anapata yale mahitaji ya msingi atatulia tu. Wewe angalia figure unayoipenda ufanye maamuzi tu! Mbona watoto wanaita? Mimi ninachoweza kukikemea ni kule kujichubua!! Kuondoa Melanine ya ngozi kuutaka weupe!!! Hicho nakipinga sana; ila kusema ukweli watoto hao safiiiii!!!
Kama huyo mwenye ya zambarau au huyo mwenye nyeusi kati ya hao safi tu!! :redfaces:
Kama huyo mwenye ya zambarau au huyo mwenye nyeusi kati ya hao safi tu!! :redfaces: