TobaPole Sana mwaya nakuonea huruma sana njoo tu kwangu mm tutaendana
Hatuchagui ila tunapendaga wanaume wenye muonekano mzuriHivi na nyie huwa mnachagua mwanaume wa kukupa watoto wazuri?
@Shunie njoo umuone huyu anasema tuna sura za baba zetu. Mkuu sie sura za mama zetu kabisaaaaaaaaa.
Aiseeh!Tatizo lako wanawake wanakuona kwa mtizamo tofauti huna mvuto upo ka kinyago cha mwenge, tumia ndoo kuoga ukimaliza kuoga bakisha maji kidogo yasukume kwa mguu wa kushoto alafu taja jina la mwanamke ambae utamtongoza zingatia jina unalitaja mara tatu
Si unajua ndugu yangu wanaume wa jf wanasema sisi wanawake wa jf ni wabaya acha tu waamini hivyohivyo na sura zetu za baba@Shunie njoo umuone huyu anasema tuna sura za baba zetu. Mkuu sie sura za mama zetu kabisaaaaaaaaa.
Ewaaa... Waamini tu sisi tunazo sura za kina babu.. Amka huko embu.Si unajua ndugu yangu wanaume wa jf wanasema sisi wanawake wa jf ni wabaya acha tu waamini hivyohivyo na sura zetu za baba
Narudi kulala ujue umeniamsha
Ewaaa... Waamini tu sisi tunazo sura za kina babu.. Amka huko embu.
Tatizo mdomo mzito. Sasa hata nikitoa hela si italiwa tu halafu tamu tamu sitapata.Toa hela nasema toa mahela tena mengiiii hakuna wa kukukataa
Wewe bwana fanya ninayokwambia halafu utakuja kunishukuruTatizo mdomo mzito. Sasa hata nikitoa hela si italiwa tu halafu tamu tamu sitapata.
Shem boo wako yuko hospital SAA hizi..Hahahhaha kilichoniamsha tumbo lilikuwa linaniuma naona uvivu kutoka kitandani kwenda kunywa dawa
Msalimie shembebe wangu
Shem boo wako yuko hospital SAA hizi..
Nimekwambia ukinipa block nitakuchamba.. Sijapatikana bado.. Kama ni safari ya Tanga ndo kwanzaaa niko ubungo Maji.. Kupatikana Mimi sio jambo dogo ivoo.. Kwanza twende kwenye maulid ya kumtoa mtoto Knyama.Hahhahhahaha
Dada umepatikana siamini
Ila ukiletea habari za kila siku kama ndugu yako nakupa block ya mana nakuacha jf tu ndio tutakapoonana
Mm nimechoka sitoki kwanza nguo ya kuvaa kwenye maulidi sinaNimekwambia ukinipa block nitakuchamba.. Sijapatikana bado.. Kama ni safari ya Tanga ndo kwanzaaa niko ubungo Maji.. Kupatikana Mimi sio jambo dogo ivoo.. Kwanza twende kwenye maulid ya kumtoa mtoto Knyama.
Hilo swala LA NGUO linanipanikisha hapa na Mimi. Nawaza kwenda kununua ila sioni hela ya kununulia.. Ngoja niendelee kuwazaMm nimechoka sitoki kwanza nguo ya kuvaa kwenye maulidi sina
Hilo swala LA NGUO linanipanikisha hapa na Mimi. Nawaza kwenda kununua ila sioni hela ya kununulia.. Ngoja niendelee kuwaza
Umejuaje lakini???? Jana tayari watu walikua huko wanachagua.. Mimi hata sijui navaa nini.. Akiii kufanya jambo na wadada wa mjini stress sanaHahhahahah endelea kuwaza tu uko watu wamedamshi kutoka kwa 2collection Dubai
Umejuaje lakini???? Jana tayari watu walikua huko wanachagua.. Mimi hata sijui navaa nini.. Akiii kufanya jambo na wadada wa mjini stress sana