Warembo wananikataa, sijajua nakosea wapi I'm really stressed up

Warembo wananikataa, sijajua nakosea wapi I'm really stressed up

WANAWAKE TUNAPENDA WANAUME WEMA!
HATUPENDI WANAUME WEMA SANA!

mwanaume huna team ya mpira unayoshabikia
mwanaume huvuti sigara
mwanaume hunywi pombe
mwanaume hupendi siasa za ubishani
mwanaume hubishi unapanga boxer mwenyewe
mwanaume getho safiiiiiii kapeti jeupe
mwanaume boxer nyeupe soxi nyeupe handkerchief nyeupe shuka jeupe
AH WEEEEEEEEEEE subutuuu!

ACHA KUWA PERFECT SANA!
 
WANAWAKE TUNAPENDA WANAUME WEMA!
HATUPENDI WANAUME WEMA SANA!

mwanaume huna team ya mpira unayoshabikia
mwanaume huvuti sigara
mwanaume hunywi pombe
mwanaume hupendi siasa za ubishani
mwanaume hubishi unapanga boxer mwenyewe
mwanaume getho safiiiiiii kapeti jeupe
mwanaume boxer nyeupe soxi nyeupe handkerchief nyeupe shuka jeupe
AH WEEEEEEEEEEE subutuuu!

ACHA KUWA PERFECT SANA!
Dadek Wallahi.

Najua umejizuia tu kusema "huo ni umama"

Just kidding!

 
WANAWAKE TUNAPENDA WANAUME WEMA!
HATUPENDI WANAUME WEMA SANA!

mwanaume huna team ya mpira unayoshabikia
mwanaume huvuti sigara
mwanaume hunywi pombe
mwanaume hupendi siasa za ubishani
mwanaume hubishi unapanga boxer mwenyewe
mwanaume getho safiiiiiii kapeti jeupe
mwanaume boxer nyeupe soxi nyeupe handkerchief nyeupe shuka jeupe
AH WEEEEEEEEEEE subutuuu!

ACHA KUWA PERFECT SANA!
Umemaliza kabisa.

Hii thread ingeishia tu hapa.
 
You are too good for me',you deserve better'..wanawake kumuacha/kumkataa mtu kwa aina ya maneno hayo haiondoi ukweli kuwa umemuumiza wala kupunguza maumivu...
Man,Mungu atakubariki utampata atakayeelewa hayo unayohisi ni mapungufu yako ama atakuondoshea mapungufu hayo.....
 
Jenga mjengo wa maana.. tafuta gari kali.. halafu bandika tangazo getini natafuta house girl mwenye elimu ya digrii. Ukimaliza lete mrejesho..
 
Umemaliza kabisa.

Hii thread ingeishia tu hapa.
AHSANTE!
ubinadamu ni pamoja na kuwa imperfect!
ni kama mfano!
unaenda na mtu bar anaagiza maji ya Kilimanjaro ,anaomba yachemshwe kwanza!akiletewa anataka chujio la kuyachuja,kisha anaomba mrija ayanywe ili asiyachafue kwa lips in case alipokuwa anakuja barabarani alipata vumbi midomoni!
hii hata wanawake wengi wanaimiss hii!
unapokuwa SAHIHI SANA ,SISI WENGINE TULIO NA UBINADAMU TUNAKUONA JINI!
TUNABAKI TUNAKUSHANGAA!
inaondoa utamu wote wa mahusiano!
 
Dadek Wallahi.

Najua umejizuia tu kusema "huo ni umama"

Just kidding!


AHHAHAHAHAHA!
unanijua nilivyo gender sensitive!
LAKINI KIUKWELI KABISA!
mi sitaki mtu awe PERFECT!
kosea nijue flaws zako!
HALAFU NIJIPIME!
nakumudu! niseme naweza, au siwezi!
unapokosea kwa uhuru unakiri ubinadamu ndani yako!
maana yake unaelewa ubinadamu ndani yangu!
maana yake TUNAKOSEA PAMOJA NA TUKIWEZA TUNANYANYUKA PAMOJA!
na hata TUKISHINDWA BADO UNABAKI NI UBINADAMU!
HAKUNA LAWAMA!
HAKUNA HATIA!
we were only being human!
 
AHHAHAHAHAHA!
unanijua nilivyo gender sensitive!
LAKINI KIUKWELI KABISA!
mi sitaki mtu awe PERFECT!
kosea nijue flaws zako!
HALAFU NIJIPIME!
nakumudu! niseme naweza, au siwezi!
unapokosea kwa uhuru unakiri ubinadamu ndani yako!
maana yake unaelewa ubinadamu ndani yangu!
maana yake TUNAKOSEA PAMOJA NA TUKIWEZA TUNANYANYUKA PAMOJA!
na hata TUKISHINDWA BADO UNABAKI NI UBINADAMU!
HAKUNA LAWAMA!
HAKUNA HATIA!
we were only being human!
Sure thing. I hope he learns a thing or two from your comments!

Have a blessed day!

 
AHSANTE!
ubinadamu ni pamoja na kuwa imperfect!
ni kama mfano!
unaenda na mtu bar anaagiza maji ya Kilimanjaro ,anaomba yachemshwe kwanza!akiletewa anataka chujio la kuyachuja,kisha anaomba mrija ayanywe ili asiyachafue kwa lips in case alipokuwa anakuja barabarani alipata vumbi midomoni!
hii hata wanawake wengi wanaimiss hii!
unapokuwa SAHIHI SANA ,SISI WENGINE TULIO NA UBINADAMU TUNAKUONA JINI!
TUNABAKI TUNAKUSHANGAA!
inaondoa utamu wote wa mahusiano!
Thats right.
 
Mkuu kila mtu Ana aliepangiwa nae. Hao wanaodumu muda mfupi sio ulioandaliwa. Unadhani kwanini kuna watu wanaoa Na 40yrs? Sababu hawajapata watu wa kuendana nao. Usichoke kudate IPo siku utapata your Perfect Match Na utashukuru hata kwa hao ambao walikua hawadumu
Amekwambia mademu wanamtosa, sasa aendelee kudate kivipi?
 
WANAWAKE TUNAPENDA WANAUME WEMA!
HATUPENDI WANAUME WEMA SANA!

mwanaume huna team ya mpira unayoshabikia
mwanaume huvuti sigara
mwanaume hunywi pombe
mwanaume hupendi siasa za ubishani
mwanaume hubishi unapanga boxer mwenyewe
mwanaume getho safiiiiiii kapeti jeupe
mwanaume boxer nyeupe soxi nyeupe handkerchief nyeupe shuka jeupe
AH WEEEEEEEEEEE subutuuu!

ACHA KUWA PERFECT SANA!
Mkuu unatushauri sisi ambao hatutumii kilevi na sigara tuanze au?
 
Mkuu unatushauri sisi ambao hatutumii kilevi na sigara tuanze au?
kuwa naughty na chochote !
just being stubborn in any way!
na kimsini you are stubbon ila UNAJIFICHA!
na hii ndiyo inatisha zaidi!
 
Hbr JF,

Naombeni msaada wenu wa mawazo. Kwa zaidi ya miaka sita sasa nimeshindwa kupata relationship inayoeleweka, nyingi zinakufa hata kabla hazijaanza. Relationship yangu ya kwanza ilikufa kwa kua gf alitaka ndoa na mie ndio nilikua nimetoka chuo sina mbele wala nyuma akaamua tuachane. Baadhi ya wadada ambao niliwasihi sana waniambie kwa nini wanahisi hawawezi kua na mimi wameishia kusema "I'm too good to them", "I 'm too kind" wanaogopa kuniharibia....hivo. etc

My last attempt ilikua weekend iliyopita, nilitoswa baada ya kufukuzia kwa muda mrefu sana. Yaani naambiwa tu kama ni urafiki wa kawaida it's ok ila sio mahusiano na mdada ambae anakiri kua hana mtu na tumekua marafiki kwa miezi zaidi ya 6. Katika urafiki wetu huo nimejitahidi kua karibu nae, zawadi zawadi hata outings kwa sana tu hadi najiuliza nifanye nini zaidi na hawa viumbe.

Binafsi sio mbahili na pesa sio tatizo sana namshukuru Mungu kwa hilo, ila pia kutokana na shughuli zangu nakua busy mno kwa hiyo inaniuma vile navyoweza ku sacrifice muda wangu kua karibu na mtu nikiamini kuna kitu nakijenga kumbe nampigia mbuzi gitaa. Imefikia hatua nawaogopa wadada wa kibongo, natamani labda nitafute raia wa nchi nyingine / mzungu etc.

Wiki hii nzima nimekua nikiwaza na kuwazua nakosea wapi. Umri nao unasonga, hakuna gf wala mchumba inanipa stress sana sana. Kijana ukishafika miaka 30+ , shule umeenda na una ajira/shughuli za kukuingizia kipato cha kutosha kila mtu anatarajia kuona unakua na familia, maswali ya unaoa lini yamekua mengi hadi wakati mwingine napanic vibaya sana.

Kama kuna mdau anaemfahamu mwanasaikolojia wa mahusiano , naomba aniunge nae nipate na ushauri wa kitaalamu pia.
Muombe mungu akuonyeshe aliye sahihi
 
Back
Top Bottom