Culture Me
JF-Expert Member
- May 24, 2017
- 10,494
- 21,444
Best ushauri ever.... nimetamani niwe na tatizo ili unishauri.go for it nigga...just go fot it...
it's about you do what's good for you...mapenzi ni kuwa na furaha na uliyenaye
ukipata nafasi ya kudate mzungu, mwarabu, muhindi etc never hesitate mkuu...you never know
Binafsi sioni mahali unakosea kwa jinsi ulivyojieleza...wao wanaokukataa ndio wanaokosea...
Usimlazimishe manzi ima faima, akikataa wewe sepa zako maana wadada wengi huwa na multiple minds...anaweza akawa na wewe vile anataka ndoa tu lakini kihisia yupo na bwana wake aliyetosana naye sometimes back....
Huna sababh ya ku 'panic'...hao wanaokuuliza unaoa lini sio utaoishi nao katika ndoa yako...
Ups and downs za ndoa yako hazitawahusu hata kidogo na si ajabu hao hao watakushauri tena, "hebu tafuta mwanamke mwingine" endapo mambo yakwenda mrama...
Take your time, ishi maisha yako na zaidi huwa hakuna umri eti ukifika ni lazima uoe...
Why do you need a psychologist? listen young fella, you're the boss of your own happiness...hao wanasaikolojia hata wao wana matatizo yao...
lol.