Warembo wananikataa, sijajua nakosea wapi I'm really stressed up

Warembo wananikataa, sijajua nakosea wapi I'm really stressed up

go for it nigga...just go fot it...

it's about you do what's good for you...mapenzi ni kuwa na furaha na uliyenaye

ukipata nafasi ya kudate mzungu, mwarabu, muhindi etc never hesitate mkuu...you never know



Binafsi sioni mahali unakosea kwa jinsi ulivyojieleza...wao wanaokukataa ndio wanaokosea...

Usimlazimishe manzi ima faima, akikataa wewe sepa zako maana wadada wengi huwa na multiple minds...anaweza akawa na wewe vile anataka ndoa tu lakini kihisia yupo na bwana wake aliyetosana naye sometimes back....



Huna sababh ya ku 'panic'...hao wanaokuuliza unaoa lini sio utaoishi nao katika ndoa yako...

Ups and downs za ndoa yako hazitawahusu hata kidogo na si ajabu hao hao watakushauri tena, "hebu tafuta mwanamke mwingine" endapo mambo yakwenda mrama...

Take your time, ishi maisha yako na zaidi huwa hakuna umri eti ukifika ni lazima uoe...



Why do you need a psychologist? listen young fella, you're the boss of your own happiness...hao wanasaikolojia hata wao wana matatizo yao...
Nakubali itanisaidia hii
 
Nimepitia michango ya wadau humu nimegundua na wao hawajalijua tatizo lako.

Mkuu mbali na elimu, kipato na mwonekano, ambavyo bila shaka umekidhi, wanawake hupenda mtu mwenye mtazamo, mtu ambae kauli zake zina mashiko, kitu pekee ambacho mimi nafikiri ndicho unachokikosa na ndio kinachopelekea wewe ku-suffer kiasi hiki.

Ingelikuwa inawezekana ningelikushauri wakati uko na girlfriend mnapiga stori zenu, urekodi mazungumzo yenu halafu unitumie nisikilize ama tusikilize ili kosa lijulikane/libainike.

Hebu jitafakari upya mkuu kisha fanya mabadiliko.
Nahisi umemsoma jamaaa
 
Kwa fasta fasta tu nadhani kwamba you are a nice guy.

I could go back n forth and explain why that (being good/nice) is a problem; ila nadhani at that age itakuwa ngumu kubadilisha personality yako.

Cha msingi vumilia, utakutana na ambaye ana-find that kuwa 'good/nice' is sexy.
 
Acha kuzingua, hakuna mwanamke kwa sasa anayemkataa mwanaume mwenye kazi na pesa, tena unaingia kwa gia ya kuoa.! Hata ukitaka kijiji kizima utawapata. Mwanamke ukishamwingia kwa gia ya kumuoa tu lazima ule mzigo na kuoa juu. Labda kuna kitu kingine .....
 
Acha kulilia madem wazuri, anza na wenye flat screen na sura za babazao juu, Hakika utawapata taratibu utaanza gain momentum
 
Tengeneza mzoga Tai waje wakusanyike!
Wakutanikapo Tai ndipo penye mzoga🏻🏻
Hata hivyo pengine Mungu anajuepusha pengine wangekusumbua!
Wa ubavu wako tupo mahala flani
 
hata kwa ulivyijielezea ni ngumu sana ukae na binti...unaoshesha weakness kabisa..mwanaume kuwa ngangari...eti unajisifia sio mbahili......afadhali tu umesema pesa sio shida ila kusema sio mbaho=ili kwani ndio sababu ya wao wasikuache..ukiwa too good utaachwa sana tu
 
Tongoza wadada wenye umri, kati ya miaka 35 na kuendelea, hutojutia kamwe dawa ni hiyo tu.
 
Badili gia angani kuwa wa kawaida usidhani pesa tu ndio kigezo cha kupata unaye mtaka wadada wanamiliki mpunga now days weka pesa pembeni , punguza majigambo sijui degree sijui kazi pia kumbuka bora uchelewe kupata kuliko kujutia kupata
 
labda huswaki, ni kosa kubwa sana kwenye relationship
 
Mkuu kila mtu Ana aliepangiwa nae. Hao wanaodumu muda mfupi sio ulioandaliwa. Unadhani kwanini kuna watu wanaoa Na 40yrs? Sababu hawajapata watu wa kuendana nao. Usichoke kudate IPo siku utapata your Perfect Match Na utashukuru hata kwa hao ambao walikua hawadumu
Mzigua nina kesi na wewe na nimeona una hatia ya kujibu
 
Hbr JF,

Naombeni msaada wenu wa mawazo. Kwa zaidi ya miaka sita sasa nimeshindwa kupata relationship inayoeleweka, nyingi zinakufa hata kabla hazijaanza. Relationship yangu ya kwanza ilikufa kwa kua gf alitaka ndoa na mie ndio nilikua nimetoka chuo sina mbele wala nyuma akaamua tuachane. Baadhi ya wadada ambao niliwasihi sana waniambie kwa nini wanahisi hawawezi kua na mimi wameishia kusema "I'm too good to them", "I 'm too kind" wanaogopa kuniharibia....hivo. etc

My last attempt ilikua weekend iliyopita, nilitoswa baada ya kufukuzia kwa muda mrefu sana. Yaani naambiwa tu kama ni urafiki wa kawaida it's ok ila sio mahusiano na mdada ambae anakiri kua hana mtu na tumekua marafiki kwa miezi zaidi ya 6. Katika urafiki wetu huo nimejitahidi kua karibu nae, zawadi zawadi hata outings kwa sana tu hadi najiuliza nifanye nini zaidi na hawa viumbe.

Binafsi sio mbahili na pesa sio tatizo sana namshukuru Mungu kwa hilo, ila pia kutokana na shughuli zangu nakua busy mno kwa hiyo inaniuma vile navyoweza ku sacrifice muda wangu kua karibu na mtu nikiamini kuna kitu nakijenga kumbe nampigia mbuzi gitaa. Imefikia hatua nawaogopa wadada wa kibongo, natamani labda nitafute raia wa nchi nyingine / mzungu etc.

Wiki hii nzima nimekua nikiwaza na kuwazua nakosea wapi. Umri nao unasonga, hakuna gf wala mchumba inanipa stress sana sana. Kijana ukishafika miaka 30+ , shule umeenda na una ajira/shughuli za kukuingizia kipato cha kutosha kila mtu anatarajia kuona unakua na familia, maswali ya unaoa lini yamekua mengi hadi wakati mwingine napanic vibaya sana.

Kama kuna mdau anaemfahamu mwanasaikolojia wa mahusiano , naomba aniunge nae nipate na ushauri wa kitaalamu pia.
Njoo Pm ntakusaidia
 
Back
Top Bottom