Aneel munawar
JF-Expert Member
- Aug 1, 2017
- 4,862
- 8,511
Not for free homiekaribu
Not for free homiekaribu
HapanaTatizo utaku unadate na under 20.ao wanakuaga hawana mipango na serious relationship.
Mke mwema anatoka kwa Bwana, so usiwaze sana we fanya maombi na hakika atatenda.
Anaekuuliza maswala ya kuoa na kukuambia umri umefika yeye anajuaje umri wako wa kuoa?
... Imefikia hatua nawaogopa wadada wa kibongo, natamani labda nitafute raia wa nchi nyingine / mzungu etc.
Wiki hii nzima nimekua nikiwaza na kuwazua nakosea wapi.
Umri nao unasonga, hakuna gf wala mchumba inanipa stress sana sana. Kijana ukishafika miaka 30+ , shule umeenda na una ajira/shughuli za kukuingizia kipato cha kutosha kila mtu anatarajia kuona unakua na familia, maswali ya unaoa lini yamekua mengi hadi wakati mwingine napanic vibaya sana.
Kama kuna mdau anaemfahamu mwanasaikolojia wa mahusiano , naomba aniunge nae nipate na ushauri wa kitaalamu pia.
Kama sio ivo yawezekana nawe ni mchaguzi sana. Hahaaa wataka waremboooo. Na kama sio ivo basi ni kwamba wa ridhiki yako bado.Hapana
Hua nakataa kabisa girls wenye umri mdogo
Kama sio ivo yawezekana nawe ni mchaguzi sana. Hahaaa wataka waremboooo. Na kama sio ivo basi ni kwamba wa ridhiki yako bado.
Bt jitafakari wewe upoje? kimuonekano, kiuchumi na mengineyo.
Ahsante mkuu, be blessedgo for it nigga...just go fot it...
it's about you do what's good for you...mapenzi ni kuwa na furaha na uliyenaye
ukipata nafasi ya kudate mzungu, mwarabu, muhindi etc never hesitate mkuu...you never know
Binafsi sioni mahali unakosea kwa jinsi ulivyojieleza...wao wanaokukataa ndio wanaokosea...
Usimlazimishe manzi ima faima, akikataa wewe sepa zako maana wadada wengi huwa na multiple minds...anaweza akawa na wewe vile anataka ndoa tu lakini kihisia yupo na bwana wake aliyetosana naye sometimes back....
Huna sababh ya ku 'panic'...hao wanaokuuliza unaoa lini sio utaoishi nao katika ndoa yako...
Ups and downs za ndoa yako hazitawahusu hata kidogo na si ajabu hao hao watakushauri tena, "hebu tafuta mwanamke mwingine" endapo mambo yakwenda mrama...
Take your time, ishi maisha yako na zaidi huwa hakuna umri eti ukifika ni lazima uoe...
Why do you need a psychologist? listen young fella, you're the boss of your own happiness...hao wanasaikolojia hata wao wana matatizo yao...
Kwani shida iko wapi kwa mwanaume kutaka wanawake warembo. yuclighty
hela anasema anayo, ajira anayo, sasa anakosa nn? .Hitaji lake ni mpenzi ambae pengine itawapelekea hadi kuoana. Sasa kuwataka warembo sio shida ,. shida ipo kwenye hatma ya hao wawili je wote wamenuia mamoja? Most of warembo tunasaka ngawira tu kwenye mahusiano.ndoa tunawaachia wenye wito wao.
Hitaji lake ni mpenzi ambae pengine itawapelekea hadi kuoana. Sasa kuwataka warembo sio shida ,. shida ipo kwenye hatma ya hao wawili je wote wamenuia mamoja? Most of warembo tunasaka ngawira tu kwenye mahusiano.ndoa tunawaachia wenye wito wao.
Sentensi tataUko mfupi sana nn?
Ahsante.
Halafu mkuu, ushawahi kuombea kitu hadi ukahisi unakosea kuomba / au umesusiwa? Ndio hali inayonikumba kwa sasa