Warembo wananikataa, sijajua nakosea wapi I'm really stressed up

Warembo wananikataa, sijajua nakosea wapi I'm really stressed up

You're a nice man, then, learn to be a bad boy while chasing money...

Btw; ukiona mapenzi yanakusumbua, achana nayo. Fanya vitu vingine.
 
Ahsante.

Halafu mkuu, ushawahi kuombea kitu hadi ukahisi unakosea kuomba / au umesusiwa? Ndio hali inayonikumba kwa sasa
Duuuh....kikukweli kwenye kuomba inabidi uwe na lijiroho la paka!


Unaweza kuomba kujibiwa hujibiwi ukahisi labda Sir God hakupendi 😳

Lakini usikate tamaa endelea kumuomba Muumba mkuu
 
Hitaji lake ni mpenzi ambae pengine itawapelekea hadi kuoana. Sasa kuwataka warembo sio shida ,. shida ipo kwenye hatma ya hao wawili je wote wamenuia mamoja? Most of warembo tunasaka ngawira tu kwenye mahusiano.ndoa tunawaachia wenye wito wao.
Eeeh bwana eeeh 😳 😳 😳
 
Write your reply...jamaa kamata 50000 mkononi mtafute demu yeyote yule mwambie nina ukame nataka nikutomb hii hela ya kwako!.. ndo mapenzi yanaanzia hapo.. ikiwezekana unapiga mimba kabisa,
hao hujifanyaga hawakubali kirahisi!!..fanya hivyo!
Mmmh....mkuu mbona ndo unampoteza jamaa mazima 😀 😀 😀 😀
 
Kwanza pole bro pili nikutoe wasiwasi kuwa kuna vitu inabidi uzingatie kujenga attraction kwa wanawake unaowataka...

Jitahidi sana kuanzia sasa kuwa smart interns of how unavaa,mazingira unayokaa pia lugha yako iwe smart haswa. Pia usiweke alot of expectations juu ya msichana fulani hii itasaidia wewe kuwa busy na kazi while unakamda kadogo kakuwasiliana nae.... Jitahidi sana kuavoid kutumia mda mwingi na mwanamke in the name of friendship itafanya wakuchukulie kama kaka yao pia itafanya vile vitu vizuri Mungu alivyokupa visionekane kwao..... Pia usiwe mtu wa kujichanganya sana i mean unawezakuwa na rafiki zako wachache ambao wanaeleweka na ambao nao wapo busy....wanawake wanapenda mtu ambae muda mwingine ni independent sio kutegemea marafiki to....

All the best brother... But tatizo sio were wala muonekano wako bro inawezekana ni perception zako na psychology uliyojengea
 
Wekeza muda wako mwingi kujijenga wewe mwenyewe kwanza,ishu za mahusiano umeingia kichwakichwa zitakusimbua,falsafa yako juu ya mapenzi na wanawake haiko sawa.kaa na magwiji na waliokuzidi umri wa kufunde.
 
Hbr JF,

Naombeni msaada wenu wa mawazo. Kwa zaidi ya miaka sita sasa nimeshindwa kupata relationship inayoeleweka, nyingi zinakufa hata kabla hazijaanza. Relationship yangu ya kwanza ilikufa kwa kua gf alitaka ndoa na mie ndio nilikua nimetoka chuo sina mbele wala nyuma akaamua tuachane. Baadhi ya wadada ambao niliwasihi sana waniambie kwa nini wanahisi hawawezi kua na mimi wameishia kusema "I'm too good to them", "I 'm too kind" wanaogopa kuniharibia....hivo. etc

My last attempt ilikua weekend iliyopita, nilitoswa baada ya kufukuzia kwa muda mrefu sana. Yaani naambiwa tu kama ni urafiki wa kawaida it's ok ila sio mahusiano na mdada ambae anakiri kua hana mtu na tumekua marafiki kwa miezi zaidi ya 6. Katika urafiki wetu huo nimejitahidi kua karibu nae, zawadi zawadi hata outings kwa sana tu hadi najiuliza nifanye nini zaidi na hawa viumbe.

Binafsi sio mbahili na pesa sio tatizo sana namshukuru Mungu kwa hilo, ila pia kutokana na shughuli zangu nakua busy mno kwa hiyo inaniuma vile navyoweza ku sacrifice muda wangu kua karibu na mtu nikiamini kuna kitu nakijenga kumbe nampigia mbuzi gitaa. Imefikia hatua nawaogopa wadada wa kibongo, natamani labda nitafute raia wa nchi nyingine / mzungu etc.

Wiki hii nzima nimekua nikiwaza na kuwazua nakosea wapi. Umri nao unasonga, hakuna gf wala mchumba inanipa stress sana sana. Kijana ukishafika miaka 30+ , shule umeenda na una ajira/shughuli za kukuingizia kipato cha kutosha kila mtu anatarajia kuona unakua na familia, maswali ya unaoa lini yamekua mengi hadi wakati mwingine napanic vibaya sana.

Kama kuna mdau anaemfahamu mwanasaikolojia wa mahusiano , naomba aniunge nae nipate na ushauri wa kitaalamu pia.
Tatizo unaenda yard kununua gari kwa nauli ya daladala
 
Mzee haujatongoza bado tu? Jaribu na hapa jukwaani ulete mrejesho.
 
Back
Top Bottom