Junior Nicky
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 609
- 584
Unajua chanzo lakini mpaka kupelekea kuhamisha hao wahadhiri hapo chuoni? Issue ilikuwa waislam walikuwa wanataka wajenge msikiti kwenye sehemu waliopewa na uongozi wa chuoni hapo lakini baadae mpango ule ulisitishwa na makamu mkuu wa chuo mama Kabaka aliyekuwa waziri wa awamu ya nne na kupelekea kufumua uongozi mzima wa chuoni hapo kwa kuwaondoa baadhi ya walimu 11wenye iman ya kiislamu na kuteua wengine 11 baada ya seke seke hilo maguful alikuja kuzima hilo na hatimaye wanafunzi walipatiwa hitaji lao....sometimes tuwe wakweli waislamu wana hoja za msingi katika haya ila nahisi ni chuki zetu kwao ndio kunapelekea haya...Huyu si PONDA karudi kwa mlango wa nyuma kweli. Wakumbuke huu upuuzi wa udini uliwa-cost sana miaka 1998/1999 kama sijakosea mwaka. Kwenye suala la watumishi wa UDOM kuondolewa kwenye nafasi zao naona hapa huyu mwandishi anataka kutuaminisha kwamba walitolewa kwenye hizo nafasi zao kwa sababu za kidini. Huo ni uzushi maana inavyooneka hata huyu mwandishi hana uhakika na anachokisema zaidi ya majungu tu hana ushahidi wowote. Pili watu hawaajiriwi kwa sababu ya dini yao hakuna mwongozo kama huo hayo madai ni kutojiamini kwao tu.
Tanzania kama Taifa hakuna mtu yoyote anabaguliwa kupata huduma za jamii kwa misingi ya kidini. Raia wote tunapata haki sawa bila kujali tofauti zetu zozote zile maana wote tunachangia kwenye pato la taifa.
WATU WASITUMIE MAJUKWAA KAMA HAYA YA SHURA YA MAIMAMU KWA AJILI YA MASLAHI NA MATAKWA YAO BINAFSI. TENA AMINI NAWAAMBIA HAKUNA KITU KIBAYA KUENDEKEZA UDINI NA UKABILA NI MAJANGA.