Teuzi na upandishwaji vyeo lazima vifanyike kwa kuangalia sifa na vigezo vya mtu husika.
Lazima viwe 'based on merits' siyo sifa ya udini au ukabila.
Kwa juhudi zetu tungekuwa hutupiganii mafanikio yetu tungeshapotea ila tunapambana ingawa mnaturudisha nyuma, na kupigania yako haimaanishi unyamaze unapambana huku unasemaMnataka mtafuniwe na kumezeshwa kabisa yakhee?
Tatizo hata hao waislam (wachache kwa mujibu wao) waliosoma wakianza kuchomoza wanarudishwa angalia Gaudencia na timu yake walivyotoa waislam 11 UDOM na kuweka wakristoKama asilimia kubwa ya wasomi ni wakristo, ni wazi asilimia kubwa watakuwa kwenye mfumo rasmi wa ajira, labda kama waajiri wataanza kuangalia kigezo cha dini badala ya vigezo vya taaluma, hapo ndo mzani unaweza kuwa sawa.....
Tuwekee na uwiano wa PhD za pande zote mbili!
Maendeleo hayana vyama wala dini!
Hapo ndo penye tatizo, na kuna taasisi ambazo kama mtendaji mkuu ni mwislamu au maafisa utumishi ni waislamu wanawakandamiza watumishi ambao ni wakristo, niliwahi kulisikia nssf hili.....ni bora sasa taratibu zifuatwe ili kuondoa hii mikanganyiko ya kidini maana haiwezi kuleta tija yoyote katika jamii..Tatizo hata hao waislam (wachache kwa mujibu wao) waliosoma wakianza kuchomoza wanarudishwa angalia Gaudencia na timu yake walivyotoa waislam 11 UDOM na kuweka wakristo
Hahaha, huu Uzushi wa wafuasi wa Mwamedi huwa inashangaza sanaHao unaosema wanalialia ndiyo Majority walioanzisha harakati za kumng'oa mkoloni, wakati huo Wakiristu wengi wakiwa ni watoto watiifu wa mkoloni.
Baada ya Uhuru badala ya kuwa treated fairly, bahati mbaya yule mtu waliyemuamini kuwa atakuwa fair kwa wote akasimika mfumo unaofavor watu wa dini yake nchini, mfumo ambao ni pasua kichwa kwelikweli, Vitengo vyote muhimu kajaza watu wa dini yake, Maraisi wauslamu walipojaribu kuwa fair kwa wote wanakutana na barua kali za kichungaji zenye maonyo yaliyofichika ya kutishia kuvuruga amani ya nchi iwapo zitafanyika reforms za haki nchini.
Ndiyo maana hata mkuu wa mkoa wa Dar es salaam anasema nchi hii iko chini ya Kanisa. Yuko sahihi, anazungumza ukweli mchungu.
Kwa hiyo waache waislamu waendelee kulialia kwa sababu wanabaguliwa katika ajira, na teuzi za kuitumikia nchi.
Wewe huwezi kuelewa feelings za waislamu kwa sababu ni mnufaika wa mfumo, hapa unachokifanya unatetea maslahi yako na watoto na wajukuu zako.
But Fahamu kwamba, Wanaosimamia mfumo wa ajira na utumishi na teuzi za kiserikali nchini ni dhahiri wako too biased against Muslims.
Unaweza kuwabeza waislamu, lakini hawako radhi na jinsi mambo yanavyofanywa.
Unaweza wewe kama wewe ukapuuza madai haya lakini waislamu in majority wanayaunga mkono na hawapendezwi na hali hii. Sasa chagueni tu muendelee na business as usual au muaddress madai haya ya waislamu, Msipoyaddress basi hili ni bomu linalosubiri kupasuka, It is a matter of time
Wazushi hao hakunaga watu wenye akili timamu anayewaaminiJifunzen kuongea ukweli. Kila cku wapigania uhuru wapigania uhuru. Kwani walioigania ili wapewe vyeo au nchi iwe huru.
Hapo ndipo utajua wana muda wa hovyoKumbe huwa mnahesabu, ? na kuweka asilimia, wengine hatujawahi kufikiria hayo kabisa.
Kuna wadau wanataka teuzi zizingatie udini wa mteuliwa.Mkuu vipi kwani kuna teuzi zinazozingatia Ukabila na Udini?
Kitali,Mi niliwah kuwa na kesi mahakama ya ardhi pale mwananyamala. Hakim alikuwa anaitwa Mohamed.nilikuja kugundua Alikuwa mlokole wa kufa mtu. So jina lisikuhakikishie din ya mtu
Kitali,Jifunzen kuongea ukweli. Kila cku wapigania uhuru wapigania uhuru. Kwani walioigania ili wapewe vyeo au nchi iwe huru.
Kitali,
Maana yangu si hiyo kuwa wapewe vyeo.
Hofu yangu ni kuwa ile hali ya kupigania uhuru itarejea upya Waislam watapambana na serikali yao kudai kile walichokipigania chini ya TANU.
Kuna wadau wanataka teuzi zizingatie udini wa mteuliwa.
Hao wadau kati yao ni Shura Ya Maimamu Tanzania.
MUONGOZO WA SHURA YA MAIMAMU TANZANIA UCHAGUZI MKUU WA TAIFA OKTOBA 2020
Shura ya Maimamu wa Tanzania imetoa waraka unaohusu Uchaguzi Mkuu...
Kazi mnayo kwa mawazo hayo.Kitali,
Maana yangu si hiyo kuwa wapewe vyeo.
Hofu yangu ni kuwa ile hali ya kupigania uhuru itarejea upya Waislam watapambana na serikali yao kudai kile walichokipigania chini ya TANU.
Check and balance ya kweli itakuja tu kwa njia ya kikatiba siyo kwa maono ya Rais aliyeko madarakani ambaye katiba ya sasa haimlazimishi kufuata hicho wnachotaka hawa kina shura ya maimamu.Kwahili nakuunga mkono mzee Said
Check and balance nimuhimu sana katika afya na uhai wa Taifa letu.
Hiyo nssf inayolalamikiwa ilikuwa na 69% ya watumishi ni wakristo, kisa boss mkuu muislam imekuwa shida na angalia alivyotolewa muislam akawekwa mkristo huku ahadi zikitolewa hamtakaa mpate mkurugenzi muislam mileleHapo ndo penye tatizo, na kuna taasisi ambazo kama mtendaji mkuu ni mwislamu au maafisa utumishi ni waislamu wanawakandamiza watumishi ambao ni wakristo, niliwahi kulisikia nssf hili.....ni bora sasa taratibu zifuatwe ili kuondoa hii mikanganyiko ya kidini maana haiwezi kuleta tija yoyote katika jamii..