Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 20,916
- 30,259
- Thread starter
- #381
Ondoza,Uzi sasa umewekwa sawa.
Hukuangalia chini ungeona hiyo link.
Mimi siko hapakufanya utani hata kidogo.
Ninaamini hiki ninachokipigania.
Ondoza,Uzi sasa umewekwa sawa.
Mimi siwezi kutokwa povu ndio naanza rasmi sheikhNaona povu linakutoka baada ya kupiga ikulu, nchi mnaipeleka mbele kwa kupiga pesa za serikali? 2.5trilioni