johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,990
- 142,007
Ikumbukwe kuwa Waraka wa TEC umeandaliwa kufuatia kazi kubwa iliyofanywa na Wasomi Wabobezi walio Kanisani baada ya Kufanya Utafiti wa kutosha
Na hata wanaofafanua Waraka Kanisani ni Maaskofu na Mapadre waliobobea katika taaluma mbalimbali
Nashauri Ndugu zetu wa TV Imaan ambao leo wameendelea kuchambua Waraka kupitia Mashehe na Simu za Wasikilizaji wawaalike Prof Lipumba, Prof Assad, Prof Mruma na Dr Dau katika Mjadala ili kuutendea haki Waraka huo wa " Kisomi"
Mlale unono!
Na hata wanaofafanua Waraka Kanisani ni Maaskofu na Mapadre waliobobea katika taaluma mbalimbali
Nashauri Ndugu zetu wa TV Imaan ambao leo wameendelea kuchambua Waraka kupitia Mashehe na Simu za Wasikilizaji wawaalike Prof Lipumba, Prof Assad, Prof Mruma na Dr Dau katika Mjadala ili kuutendea haki Waraka huo wa " Kisomi"
Mlale unono!