Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 18,300
- 33,920
- Thread starter
- #61
Kwa nini tuishi kwenye siasa kwa kutegemea kudra za Mwenyezi Mungu? Fikiria kama leo katiba ya Marekani ndiyo ingekuwa kama hii ya kwetu kingetokea nini kwenye taifa hilo kubwa na lenye kumiliki silaha za nyukilia kwa aina ya matendo ya Trump?Mara nyingi tunahitaji nahodha (dereva) makini na utingo wanaomsaidia vizuri ili kufika salama.