Wapinzani wafanye nini ili kuing'oa CCM?

Hapa ndio wapinzani mliopokosea.Lowasa aliitwa Fisadi kwa kuwa na maslahi binafsi dhidi ya kampuni ya kufua Umeme ya Richmond. Baada ya kumsakama miaka yote then Mkampa nafasi agombee uraisi kupitia CHADEMA. Mkiendelea kumkumbatia huyo mtu Ikulu mtaiona kwenye TV tuu.
Umeona huyu jamaa anavyojitoa ufahamu makusudi !! Eti aliitwa fisadi sababu ya kuvunja mkataba wa City water Na Dawasa!! Utakuta hawa ndio strategists wa huo upinzani.
 
Mkuu nia ya vyama vingi ni nzuri tu, lakini kama unavyoijua Afrika tuna asili ya ubinafsi sana. Hili haliwahusu CCM na Chadema tu,angalia karibu nchi nyingi za Africa vyama tawala na vya upinzani vingi vinagombania Ikulu sio kwasababu vina uchungu na wananchi, ni kwasababu vinapigania maslahi yao tu. Kenya iliondolewa KANU watu wakadhani ndo unafuu wa maisha utakuwepo, ila ikawa kinyume chake. Ufisadi ukaongezeka mara tano. Inaongoza kwa kuwa na SLAMS nyingi Africa.(google biggest slams in Africa), ukiacha Kenya nipe mfano wa nchi za Africa ambapo vyama tawala viliangushwa, vikaingia vipya kukawa na mabadiliko makubwa??, vyama vingi vya upinzani vina hasira ya kuingia madarakani nao wale(ZAMU YETU). Basi, hivi unaamini kabisa kabisa mtu kama Lowassa akizungukwa na masela wake akina Rostam Azizi, Kalamagi na genge lao la wanyang'anyi lilikuwa na machungu ya kuwaletea watanzania maendeleo??., hebu acheni utani bwana.
 
Yaani mnaota kuing'oa CCM!!? Hamtaweza sasa hivi inaimarika sana. Mawazo ya kitoto hayo.
 
Broo
Imezuka hoja hapa JF kwamba CCM kuendelea kwake kuwa madarakani ni kwa sababu Tanzania tuna vyama vya upinzani dhaifu. inawezekana hoja hiyo ina ukweli fulani ndani yake lakini lazima wanaouona upinzani ni dhaifu watoe maoni yao ni nini kifanyike ili CCM ing'oke madarakani Tanzania ikibaki salama.

Wengine hatuuoni uimara wa CCM bali tunaona mabavu ya CCM kutumia dola dhidi ya vyama vingine vya siasa. Leo hoja kubwa kwamba upinzani ni dhaifu ni madai kwamba wameiacha hoja "yao" ya ufisadi.

Lakini ni kweli kuwa Upinzani wameacha hoja yao ya kupiga vita ufisadi? Hivi kuna tofauti gani ya hatua zilizochukuliwa dhidi ya Lugumi kama ilivyokuwa kwa EPA ama Tegeta Escrow? Wakati ajenda ya wapinzani ilipokuwa kupiga vita ufisadi, CCM walifanya nini tofauti na sasa?

Lowassa aliitwa fisadi Pale Mwembe Yanga kwa kuvunja mkataba kati ya City waters na Dawasa, leo wapinzani wakizungumizia kuhusu Bombadier, ujenzi wa uwanja wa ndege Chato, matumizi nje ya bajeti,kukopa fedha kinyemela inaonekana hawazungumzii ufisadi, ni kwa nini?
Hivi unategemea ccm na nccr na kina dovutwa wakupe ushauri gani?? Kuna mambo matatu ya kufanya kwa sasa japo yapo mengi ila haya ndo tuanze nayo
1) tumekosa katiba mpya basi mwenyekiti wa NEC asiteuliwe na mwenyekiti WA ccm
2)kwa Tanzania cjaona umuhimu WA kuwa na vya vya siasa vingi kwa sasa tuna vyama 20+ ambavyo vingine tunaonaga kwenye karatasi za kupigia kura..so futa angalau vibaki vitatu Tu.
3) kura zote zihesabiwe na kutangaziwa kituoni na NEC watangaze matokeo ya kila kituo hata kama tuna vituo milioni..kwani kazi Yao ndo hiyo...tukifanikiwa hivi nahisi hata kelele za wizi WA kura zitapungua
 
Watanzania kwa ujumla wanahitaji maendeleo basi, hawajali yanaletwa na CDM,CCM,CUF etc, hii kukaa mnahubiri u Chadema na U CCM ndo unaowarudisha nyuma, kama Chadema itaendelea kuongelea udikteta na kukosoa hotuba za Raisi, wasahau kuongoza nchi hii labda 2080 kizazi kijacho, sio hiki cha kubadili gia angani. Halafu muache kukaribisha mafisadi mliotuaminisha mna ushahidi na ufisadi wao na kuwapa sifa na vyeo. Dhambi ya kumuweka Lowassa mgombea 2015 itawatafuna miaka 40 ijayo.
Hoja za kichovu hizi! Eti watanzania kwa ujumla wanahitaji maendeleo, basi! Hizi ndizo blah blah mlizolishwa na kutaka kupumbaza watu. Kuna uhusiano mkubwa wa maendeleo ya nchi na sera za chama kinachoongoza nchi kwa wakati husika. Ni mtu mjinga pekee atakayeendelea kung'ang'ana na Lowasa kwa hoja ya ufisadi ilihali mambo yote yaliishawekwa wazi kwamba hiyo ilikuwa ni vita ya madaraka ndani ya CCM.

Kwanini usijiulize swali dogo tu. Hivi Lowasa ana kinga gani kiasi kwamba kama alihusika na huo ufisadi asifikishwe kortni tangu mwaka 2008? Tena kwa siasa hizi za chuki, leo Lowasa angekuwa uraiani? Na kama hoja ni ufisadi, hawa akina Chenge, Ngeleja, Karamagi; na the like ambao wamejazana CCM mnawazungumziaje? Hakuna mtu mwenye mawaa atakayeondoka CCM kwenda upinzani, hifadhi ya mafisadi iko CCM,
 
Imezuka hoja hapa JF kwamba CCM kuendelea kwake kuwa madarakani ni kwa sababu Tanzania tuna vyama vya upinzani dhaifu. inawezekana hoja hiyo ina ukweli fulani ndani yake lakini lazima wanaouona upinzani ni dhaifu watoe maoni yao ni nini kifanyike ili CCM ing'oke madarakani Tanzania ikibaki salama.

Wengine hatuuoni uimara wa CCM bali tunaona mabavu ya CCM kutumia dola dhidi ya vyama vingine vya siasa. Leo hoja kubwa kwamba upinzani ni dhaifu ni madai kwamba wameiacha hoja "yao" ya ufisadi.

Lakini ni kweli kuwa Upinzani wameacha hoja yao ya kupiga vita ufisadi? Hivi kuna tofauti gani ya hatua zilizochukuliwa dhidi ya Lugumi kama ilivyokuwa kwa EPA ama Tegeta Escrow? Wakati ajenda ya wapinzani ilipokuwa kupiga vita ufisadi, CCM walifanya nini tofauti na sasa?

Lowassa aliitwa fisadi Pale Mwembe Yanga kwa kuvunja mkataba kati ya City waters na Dawasa, leo wapinzani wakizungumizia kuhusu Bombadier, ujenzi wa uwanja wa ndege Chato, matumizi nje ya bajeti,kukopa fedha kinyemela inaonekana hawazungumzii ufisadi, ni kwa nini?
Si wanajitoa ufahamu, eti huo kwao sio ufisadi kwa kuwa unafanywa na malaika wao!!
 
Watanzania kwa ujumla wanahitaji maendeleo basi, hawajali yanaletwa na CDM,CCM,CUF etc, hii kukaa mnahubiri u Chadema na U CCM ndo unaowarudisha nyuma, kama Chadema itaendelea kuongelea udikteta na kukosoa hotuba za Raisi, wasahau kuongoza nchi hii labda 2080 kizazi kijacho, sio hiki cha kubadili gia angani. Halafu muache kukaribisha mafisadi mliotuaminisha mna ushahidi na ufisadi wao na kuwapa sifa na vyeo. Dhambi ya kumuweka Lowassa mgombea 2015 itawatafuna miaka 40 ijayo.
Hongera kumbe wewe ndio msimamizi mkuu, wa kujua kila kinachofanyika!!
 
Imezuka hoja hapa JF kwamba CCM kuendelea kwake kuwa madarakani ni kwa sababu Tanzania tuna vyama vya upinzani dhaifu. inawezekana hoja hiyo ina ukweli fulani ndani yake lakini lazima wanaouona upinzani ni dhaifu watoe maoni yao ni nini kifanyike ili CCM ing'oke madarakani Tanzania ikibaki salama.

Wengine hatuuoni uimara wa CCM bali tunaona mabavu ya CCM kutumia dola dhidi ya vyama vingine vya siasa. Leo hoja kubwa kwamba upinzani ni dhaifu ni madai kwamba wameiacha hoja "yao" ya ufisadi.

Lakini ni kweli kuwa Upinzani wameacha hoja yao ya kupiga vita ufisadi? Hivi kuna tofauti gani ya hatua zilizochukuliwa dhidi ya Lugumi kama ilivyokuwa kwa EPA ama Tegeta Escrow? Wakati ajenda ya wapinzani ilipokuwa kupiga vita ufisadi, CCM walifanya nini tofauti na sasa?

Lowassa aliitwa fisadi Pale Mwembe Yanga kwa kuvunja mkataba kati ya City waters na Dawasa, leo wapinzani wakizungumizia kuhusu Bombadier, ujenzi wa uwanja wa ndege Chato, matumizi nje ya bajeti,kukopa fedha kinyemela inaonekana hawazungumzii ufisadi, ni kwa nini?
Andika maneno machache lakini yenye point. Hapo umeandika maneno mengi lakini pointless
 
Tatizo tunadanganyana. Watakaoitoa ccm madarakani sio wapinzani. Ni watanzania.

Watanzania wakiamua hakuna atakayeweza kuzuia. Kwa sasa watanzania hawajawa tayari kuitoa ccm maana kizazi kilichounda TANU bado kipo. Kikishapita kazi itakua rahisi sana. Kikubwa ni kuwa na subira
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom