Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 18,113
- 33,624
- Thread starter
- #81
Sakasaka Mao unapataje utawala bila ya kuwa na chama cha siasa? Yaani huo utawala mnaousifia si umetokana na CCM? Au mnataka tusiwe na vyama vya siasa ili viongozi wetu wapatikane kwa kurithishana!?
Ibambasi nimekwambia nina miaka 29 kwenye siasa!!
Ibambasi nimekwambia nina miaka 29 kwenye siasa!!