Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,476
- 39,995
- Thread starter
- #41
Amejibu kwa HISIA kali kweli hadi kutoa machozi. Nadhani vyombo vyetu vya usalama havifanyi kazi yake vizuri. Vimejikita mno kwenye ulinzi na usalama wa viongozi wetu ambao sioni wanatishwa na yeyote.
sasa machozi yake yanahusiana nini na kiapo chake cha kulinda Katiba. Hakuapa kulinda hisia zetu, au kutufanya tumuonee huruma.