Huyu jamaa akimpenda mtu anamtetea hata kwa hoja za kitoto. Ref. Issue ya bashite. Mruma katuhumiwa wakati yeye anayemtetea ni nyapara tu wa barabara.Hivi hili swala la Almasi na kuhusishwa kwa Mruma ni la muda gani? Alitumwa na serikali ya awamu ya nne? Au Magufuli ndiye kamtuma?
Sent using Jamii Forums mobile app