Wapinzani Kamuombeni Msaada Kikwete

Wapinzani Kamuombeni Msaada Kikwete

Ila hata wewe ni CCM but unamuona JPM nomaaa
555f9fe5368fe9ff9b0ad5c5b3ca2417.jpg
 
Nakubaliana na JK, hatujui pa kusimamia, hatuna misimamo, tunapelekwa tu ovyo, leo unasema hiki kesho umebadilika kabisa...
Hao hao wanaolia bora Kikwete harudi akirudi ndio watakuwa wa kwanza kuoponda!

Walla sio unafiki bali hatujitambui, tupo tupo tu.
 
Kama nilivyowahi kuandika uzi huu, Shukran Rais Kikwete Kwa Kuwapa Darsa la Siasa Upinzani..., sasa nnawakumbusha tena upinzani kuwa warudi kwa Kikwete akawape darsa vipi wakabiliane na hali ya kisiasa inavyokwenda kwa sasa nchini. Na vipi wao kama upinzani wakabiliane nayo.

Kikwete ni muelewa na kwa kuwa sasa ni "mzee" mstaafu tena mwenye busara sana, ni wakati muafaka upinzani umuone ili wakwamuke walipokwama.

Kikwete ni kipenzi cha wote na nnauhakika upinzani mna mengi ya kujifunza kwake, msichoke nendeni mkachote.
Hawawezi kwenda wanajua msoga hakina juice ya tende wala sharbati
 
Kuna watu mpaka sasa hawajui kwamba wakosoaji wakubwa wa serikali ni wana CCM wenyewe. Kwa sababu chama chao kimewajengea tabia ya uoga na unafiki, wanafikiri kila anayekosoa serikali ni CHADEMA au UKAWA. Wajinga ndio waliwao...
 
Kama nilivyowahi kuandika uzi huu, Shukran Rais Kikwete Kwa Kuwapa Darsa la Siasa Upinzani..., sasa nnawakumbusha tena upinzani kuwa warudi kwa Kikwete akawape darsa vipi wakabiliane na hali ya kisiasa inavyokwenda kwa sasa nchini. Na vipi wao kama upinzani wakabiliane nayo.

Kikwete ni muelewa na kwa kuwa sasa ni "mzee" mstaafu tena mwenye busara sana, ni wakati muafaka upinzani umuone ili wakwamuke walipokwama.

Kikwete ni kipenzi cha wote na nnauhakika upinzani mna mengi ya kujifunza kwake, msichoke nendeni mkachote.
Wakuomba msaada kwa Kikwete ni CCM Zanzibar baada ya kutumia jeshi kubatilisha matokeo ya uchaguzi halali na sasa wanataka kuushuka mchongoma na kuona kuwa ni ngoma.Inafaa wakamuombe awape hekima(fitina) nyengine.

Ni kweli, hata na yeye anajijua kuwa ni "mzee" mstaafu tena mwenye busara sana" hasa ya kubatilisha halali na kubariki haramu.
 
Kama nilivyowahi kuandika uzi huu, Shukran Rais Kikwete Kwa Kuwapa Darsa la Siasa Upinzani..., sasa nnawakumbusha tena upinzani kuwa warudi kwa Kikwete akawape darsa vipi wakabiliane na hali ya kisiasa inavyokwenda kwa sasa nchini. Na vipi wao kama upinzani wakabiliane nayo.

Kikwete ni muelewa na kwa kuwa sasa ni "mzee" mstaafu tena mwenye busara sana, ni wakati muafaka upinzani umuone ili wakwamuke walipokwama.

Kikwete ni kipenzi cha wote na nnauhakika upinzani mna mengi ya kujifunza kwake, msichoke nendeni mkachote.
Tatizo aliyeahidi kuwa ataenda kuchunga ng'ombe bado yupo mjini kaahirisha kwenda machungani baado analitolea macho kodo jumba litakalokuwa la makumbusho pale jirani na feri
 
Biriani nnalipika tena zuri sana, ushawahi kula biriani ya mananasi wewe?
Achana nae hajui muulize vitobisha anavijua kavamia tanga juzi basi anajifanya mjuaji subiri wadigo mtengeneze
 
Ulipotelea wapi?au maslahi yaliguswa kidogo uka shake,karibu tena uendeleze ligi faiza foxy
 
Ulipotelea wapi?au maslahi yaliguswa kidogo uka shake,karibu tena uendeleze ligi faiza foxy

Ukiutazama na kuutathmini huu uzi na mleta uzi utagundua kuwa kuna mahali kakabwa na JPM ila pia kusema anasapoti upinzani anaona soo kuitwa kigeu geu!
 
Sasahivi hatuna tofauti na zile nchi zinazoongozwa na wavaa magwanda baadaya mapinduzi.
 
Ukiutazama na kuutathmini huu uzi na mleta uzi utagundua kuwa kuna mahali kakabwa na JPM ila pia kusema anasapoti upinzani anaona soo kuitwa kigeu geu!
Hakika wewe ni GT.
Huu uzi mleta mada kapiga bonge la sarakasi. Kifupi ni kwamba anamponda aliyepo na kumkubali aliyepita.
 
Mbowe na tamaa zake badala ya kwenda kuomba ushauri anaweza kwenda kumshawishi JK agombee uraisi 2020 kupitia Chadema au UKAWA kama itakuwa bado inapumua angalau kwa shida.
simlesema itakufa kabla 2015???
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom