herzygovina mwangosi
JF-Expert Member
- Sep 26, 2013
- 900
- 431
Hamna namna itabidi iwe hivyo...nothing is rolling kila kitu vikwazo...watu woga kutekeleza taaluma zao wanasubiri kauli...seriousely tunaishi kwa kauli!!tusubirie 2020 tumtoe
Hamna namna itabidi iwe hivyo...nothing is rolling kila kitu vikwazo...watu woga kutekeleza taaluma zao wanasubiri kauli...seriousely tunaishi kwa kauli!!tusubirie 2020 tumtoe
Inaumiza sanaHamna namna itabidi iwe hivyo...nothing is rolling kila kitu vikwazo...watu woga kutekeleza taaluma zao wanasubiri kauli...seriousely tunaishi kwa kauli!!
Inaumiza kichizi...harafu yeye anachukulia poa eti wanao umia wapiga deal,seriously;niwapiga deal ana uhakika...he is not informed with the real life in street,wanaoumia ni wanyonge ambao ata deal hawajawahi ata kukutana nazo...sasa hivi wanajukunywa chai bila sukari...!Inaumiza sana
tusubirie mkuuInaumiza kichizi...harafu yeye anachukulia poa eti wanao umia wapiga deal,seriously;niwapiga deal ana uhakika...he is not informed with the real life in street,wanaoumia ni wanyonge ambao ata deal hawajawahi ata kukutana nazo...sasa hivi wanajukunywa chai bila sukari...!
Jumamosi nitakuwa maeneo ya huko Mkuranga, fanya kuniandalia hiyo kitu ya biriani na juisi ya Ukwaju.Biriani nnalipika tena zuri sana, ushawahi kula biriani ya mananasi wewe?
Ngoja tusibiri mkuu,lakin kama approch ni ya kusimamisha jambo ili kuweka sasa,sifikili kufika...wapi watu wakagera,sasa hivi na njaa imewakumba na wengine hawana pa kulala msaada imelekezwa kwenye miundombinu ya serikali....kipi ni sahii nchi kuwa tajiri with a lot of planes,and a lot of stuff harafu wananchi makapuku...nigeria haiwezi kuwa somo kwetu?!!tusubirie mkuu
Sasa kwa nini hatupewi Mkopo sisi jamani. Tutaelimikaje?Ikiwa ukisoma huelewi basi hata picha huoni?
![]()
Nendeni tu mkamuombe hikma zake na kudeka kama mlivyokuwa mkideka alipokuwa Ikulu.
Wanapishana kugawana sharubatiIkiwa ukisoma huelewi basi hata picha huoni?
![]()
Nendeni tu mkamuombe hikma zake na kudeka kama mlivyokuwa mkideka alipokuwa Ikulu.


wakati yupo madarakani hamkuwahi hata siku moja kumsifiaWanaanzaje anzaje kwanza,kwa mitusi waliomtukana.Ila sitashangaa kama waliweza kumfanya lowassa mgombea wao ni kazi ndogo kwao kwenda kuomba msaada huku wakiwa na msemo wao"siasa sio uadui"Kama nilivyowahi kuandika uzi huu, Shukran Rais Kikwete Kwa Kuwapa Darsa la Siasa Upinzani..., sasa nnawakumbusha tena upinzani kuwa warudi kwa Kikwete akawape darsa vipi wakabiliane na hali ya kisiasa inavyokwenda kwa sasa nchini. Na vipi wao kama upinzani wakabiliane nayo.
Kikwete ni muelewa na kwa kuwa sasa ni "mzee" mstaafu tena mwenye busara sana, ni wakati muafaka upinzani umuone ili wakwamuke walipokwama.
Kikwete ni kipenzi cha wote na nnauhakika upinzani mna mengi ya kujifunza kwake, msichoke nendeni mkachote.
Hiyo mistari ya mwisho inaonesha ni jinsi gani mnavyotembea kwenye mgongo wa ccm!Aende kwanza Magufuli maana hata kipindi kile anaanza uongozi alidhani kuwa kipaumbele chake cha kwanza ni kuvunja nyumba za walala hoi! Kikwete akaona huko sasa ni kuleta uonevu akaenda ikulu akamwambia asitishe! Ni kweli kuwa wapinzani tumekwama ila Magufuli ndo amekwama mara elfu ya wapinzani. Hivyo anayetakiwa kwenda kwanza ni Magufuli na siyo wapinzani.
Pia taitizo la upinzani limesababishwa na sera mbovu za Magufuli!
Nakubaliana na JK, hatujui pa kusimamia, hatuna misimamo, tunapelekwa tu ovyo, leo unasema hiki kesho umebadilika kabisa...Asilimia 70 ya Watanzania ni bendera fuata upepo - J. Kikwete
Tokea futari ipigwe chini pale ikulu unahaha kama kuku anayetaka kutagaKama nilivyowahi kuandika uzi huu, Shukran Rais Kikwete Kwa Kuwapa Darsa la Siasa Upinzani..., sasa nnawakumbusha tena upinzani kuwa warudi kwa Kikwete akawape darsa vipi wakabiliane na hali ya kisiasa inavyokwenda kwa sasa nchini. Na vipi wao kama upinzani wakabiliane nayo.
Kikwete ni muelewa na kwa kuwa sasa ni "mzee" mstaafu tena mwenye busara sana, ni wakati muafaka upinzani umuone ili wakwamuke walipokwama.
Kikwete ni kipenzi cha wote na nnauhakika upinzani mna mengi ya kujifunza kwake, msichoke nendeni mkachote.