Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 48,765
- 126,677
Kwa ni unasema hivyo?Mimi nadhara uharamu hauna grade. So vyote ni haramu.
Zinaa nini haramu, lakini huwezi kumfananisha mzinifu ambaye hajaoa/hajaolewa na yule aliyeoa/aliyeolewa.
Hao wote adhabu yao ni tofauti japo kosa ni moja.