Wapiga punyeto wote ni madomo zege

Wapiga punyeto wote ni madomo zege

Hivi kweli mwanaume unayejiamini unaanzaje kupiga nyeto??

Msishangae kwanini nimeanza na hasira bila hata salaam, ni kwa sababu ya kitendo hiki haramu cha kuuwa binadamu wenzetu ambao hatujui wangezaliwa wangekuwa akina nani.

Kwanini genye zikikupanda usitafute demu wa kuzishusha mpaka upige nyeto??
kwa kipindi hiki ambacho wanawake ni wengi kuliko wanaume tena wapo wanaotoa free K bado unapiga nyeto??

Ni kitendo cha kuongea nae tuu (just maneno) bila kutoa hata mia mbovu anakupa K, ila kwa sababu wewe unaogopa jinsi ya kuongea na demu unaamua kupiga nyeto.

Hapana kwakweli siwezi kukuelewa labda unipe sababu ambazo zitanifanya nikuelewe
kila kitu kinasababu zake usizani watu ni wajinga puli ina faida kubwa hasa kwa vijana ambao bado wanapambana na maisha faida ya puli inaokoa sana gharama haina haja ya kila siku kumwita dem wako geto kumbuka haondok bure pia puli ina okoa mda unamaliza shida mda uliobanwa jap inamadhara kama ukizidisha wewe kama unaendelea kupiga vitoto vya shule vya bure bure hivy acha mara moja hii serikal haitaki mchezo
 
Mtoa post umeamua kukichafua chama (CHAPUTA),kumbuka chama kimekulea,kimekukuza na sasa umekuwa mtu mzima...tafadhali simamia maadili na miiko ya chama!
 
Kuna kundi linatumika kuchafua jumuia yetu ya chaputa kwa maslahi yao, nawaomba wanachama wote kuwa watulivu tuviachie vyombo vya dola kuchukua hatua!
Nawaomba wanachama na viongozi wengine kuwa wavumilivu ktk kpnd hiki kigumu,pia tuliamini jeshi la police litafanya kazi yake kwa weledi mkubwa na kuweza kuwatia nguvuni wale wote wasio na mapenzi mema na chama (CHAPUTA)
 
Hivi kweli mwanaume unayejiamini unaanzaje kupiga nyeto??

Msishangae kwanini nimeanza na hasira bila hata salaam, ni kwa sababu ya kitendo hiki haramu cha kuuwa binadamu wenzetu ambao hatujui wangezaliwa wangekuwa akina nani.

Kwanini genye zikikupanda usitafute demu wa kuzishusha mpaka upige nyeto??
kwa kipindi hiki ambacho wanawake ni wengi kuliko wanaume tena wapo wanaotoa free K bado unapiga nyeto??

Ni kitendo cha kuongea nae tuu (just maneno) bila kutoa hata mia mbovu anakupa K, ila kwa sababu wewe unaogopa jinsi ya kuongea na demu unaamua kupiga nyeto.

Hapana kwakweli siwezi kukuelewa labda unipe sababu ambazo zitanifanya nikuelewe


runyaga unakosea unaposema hivyo....kupiga punyeto ni mazoea na kibaya au uzuri ni kwamba wapiga punyeto hapa nchini wana chama chao (WAPUTA) kinachowatetea haki yao. Utakuta mtu ana mke ama demu lakini bado anapiga punyeto tu, ukiwauliza wanakwambia hawana hamu na mademu zao.
 
kuna jamaa nilikutana nae anadai hamna kitu kinaitwa punyeto ni maneno tu watu wamejitungia,nikajua hili punga jogoo halipandi mtungi.
 
Back
Top Bottom