Zero IQ
JF-Expert Member
- Dec 21, 2016
- 13,917
- 24,674
Kusema ile kweli kwa sasa hali imekuwa tete mi mpiga dili juzi tu nimetoka kuchukua kitambulisho cha ujasiriamali ingawa hali ni tete,
Zamani nilikuwa nauza chipsi mpaka nakimbia wateja ila siku hizi nauza huku nikifikiria sijui kama kesho itafika bila kufunga kibanda,
Kwa kweli mimi mpiga dili kwa sasa niko hoi taabani kinachonifariji kuendelea ni hawa watoto wakali wanaojipitisha mbele ya kibanda changu.
Cc Zero IQ
Zamani nilikuwa nauza chipsi mpaka nakimbia wateja ila siku hizi nauza huku nikifikiria sijui kama kesho itafika bila kufunga kibanda,
Kwa kweli mimi mpiga dili kwa sasa niko hoi taabani kinachonifariji kuendelea ni hawa watoto wakali wanaojipitisha mbele ya kibanda changu.
Cc Zero IQ