Wapiga dili wenzangu tukutane hapa

Zero IQ

JF-Expert Member
Dec 21, 2016
13,917
24,674
Kusema ile kweli kwa sasa hali imekuwa tete mi mpiga dili juzi tu nimetoka kuchukua kitambulisho cha ujasiriamali ingawa hali ni tete,


Zamani nilikuwa nauza chipsi mpaka nakimbia wateja ila siku hizi nauza huku nikifikiria sijui kama kesho itafika bila kufunga kibanda,

Kwa kweli mimi mpiga dili kwa sasa niko hoi taabani kinachonifariji kuendelea ni hawa watoto wakali wanaojipitisha mbele ya kibanda changu.




Cc Zero IQ
 
Kusema ile kweli kwa sasa hali imekuwa tete mi mpiga dili juzi tu nimetoka kuchukua kitambulisho cha ujasiriamali ingawa hali ni tete,


Zamani nilikuwa nauza chipsi mpaka nakimbia wateja ila siku hizi nauza huku nikifikiria sijui kama kesho itafika bila kufunga kibanda,

Kwa kweli mimi mpiga dili kwa sasa niko hoi taabani kinachonifariji kuendelea ni hawa watoto wakali wanaojipitisha mbele ya kibanda changu.




Cc Zero IQ
Anza kuuza atakijambio tu kitakutoa
 
Pole ndugu kila sehemu pamejamba mzee hakuna pa kukimbilia mzee sector zote zipo hoi.
 
Back
Top Bottom