Wapi wanatoa kozi ya udereva wa malori kama scania, volvo n.k?

Mwambie aende veta ajisajili kwaajili ya gari kubwa watamfundisha ila wanatumia scania kipisi semi trailer hawana,pili kupata mtu wakukufundisha kwenye lorry wakati wa kwenda safari sikuizi inakuwa ngumu kiasi maana matjiri wengi wananunuwa magari mapya na huwa tunawapeleka madereva kusomea kozi fiupi kabla ya kuwa kabidhi magari hayo efficient cose,shida yetu hatuna mfumo mzuri wakuandaa madereva kwa nchi yetu,kila siku huwa nawauliza NIT kwanini hawana mfumo wa kupika madereva tokea chini?
mkuu una madini kinoma,,tafadhali naomba mawasiliano yako unitumie PM nikucheki unielekeze mambo flani flani
 
Mwambie aende veta ajisajili kwaajili ya gari kubwa watamfundisha ila wanatumia scania kipisi semi trailer hawana,pili kupata mtu wakukufundisha kwenye lorry wakati wa kwenda safari sikuizi inakuwa ngumu kiasi maana matjiri wengi wananunuwa magari mapya na huwa tunawapeleka madereva kusomea kozi fiupi kabla ya kuwa kabidhi magari hayo efficient cose,shida yetu hatuna mfumo mzuri wakuandaa madereva kwa nchi yetu,kila siku huwa nawauliza NIT kwanini hawana mfumo wa kupika madereva tokea chini?
Chuo kipo morogoro kihonda pale atajifunza darasani kisha ataingia barabarani akitoka hapo ameshakuwa dreva,ila itamlazimu apate mtu mwenye kusafiri nae apart uzoefu zaidi
 
Nikushauri tu wengi wanaanzia utandboy huko njiani na dereva wako ndo atakufunza mpaka utapokua sawa anakuachia njiani uendeshe tena sehem hatari ukiiva unaenda omba kazi ka dereva. Nawe ufundishe mwingin. Makampuni mengi hayataki dereva mgeni bora wampe tandiboy wao wanaomjua anaendesha vizur kuliko dereva mpya alietoka shule
Huo ni mfumo mbaya sana,mimi nilianza kuendesha bila ya kwenda huko veta na wala sikuwahi kuwa tandiboy sijui,nilikuwa najua kuendesha gari ndogo manual nikapata fuso tipper ya tani 4,nikaendesha tu,japo kuna tofauti kubwa kuendesha gari ya mzigo na gari lisilo na mzigo,

baada ya hapo nikapata scania Mende tipper,hapa ilikuwa tofauti kidogo kwenye gear shifting nilichukua manual book tu nikasoma nikaelewa nikatoa gari bandarini mpaka nyumbani,baada ya mwaka nilishakuwa mzoefu wa gari kubwa Lakini sikuwa dereva mahiri nikaingia kwenye semi trailer,hapa imenilazimu kwenda sehemu kunitumia reverse kwa muda wa mwezi,

nikasema nikaanza kufanyakazi za town trip,kutoka mizigo bandarini,kwenye ICD kupeleka kwa wateja baadae nikaanza kufanyakazi kwenye kampuni moja,nikasafiri kwenda Burundi,Rwanda,Zambia,Zimbabwe,Congo kukawa na uzoefu mkubwa sana Lakini bado sikuwa dereva mahiri,ndio nikapata kuhudhuria workshop sub scania na pia nilipokuwa nafanyakazi wakaajiri mwalimu wa madereva nikasoma mwezi mzima nikaona tofauti nilivyokuwa naendesha kabla ya workshop na baada ya workshop
 
Huo ni mfumo mbaya sana,mimi nilianza kuendesha bila ya kwenda huko veta na wala sikuwahi kuwa tandiboy sijui,nilikuwa najua kuendesha gari ndogo manual nikapata fuso tipper ya tani 4,nikaendesha tu,japo kuna tofauti kubwa kuendesha gari ya mzigo na gari lisilo na mzigo,

baada ya hapo nikapata scania Mende tipper,hapa ilikuwa tofauti kidogo kwenye gear shifting nilichukua manual book tu nikasoma nikaelewa nikatoa gari bandarini mpaka nyumbani,baada ya mwaka nilishakuwa mzoefu wa gari kubwa Lakini sikuwa dereva mahiri nikaingia kwenye semi trailer,hapa imenilazimu kwenda sehemu kunitumia reverse kwa muda wa mwezi,

nikasema nikaanza kufanyakazi za town trip,kutoka mizigo bandarini,kwenye ICD kupeleka kwa wateja baadae nikaanza kufanyakazi kwenye kampuni moja,nikasafiri kwenda Burundi,Rwanda,Zambia,Zimbabwe,Congo kukawa na uzoefu mkubwa sana Lakini bado sikuwa dereva mahiri,ndio nikapata kuhudhuria workshop sub scania na pia nilipokuwa nafanyakazi wakaajiri mwalimu wa madereva nikasoma mwezi mzima nikaona tofauti nilivyokuwa naendesha kabla ya workshop na baada ya workshop
udereva malori uzoefu ni muhimu sana , kiliendesha gari sio tabu, je aina ya uendeshaji wako uko vipi?ni salama kwako binafsi na gari lenyewe. zipo sehemu ukichezea gear gari litashindwa kwenda, ama hata kuharibu engine ,kukata shaft ,gearbox n.k. izi workshop zipo kwa usahihi sababu technolojia inakua gari za kisasa mifumo ya kisasa. ...dereva anapaswa kuifahamu mifumo hiyo. umeenda safari gari imepata itilafu ndogo tu inashindwa kwendelea na safari umngoje fundi atoke kilometa 300
 
udereva malori uzoefu ni muhimu sana , kiliendesha gari sio tabu, je aina ya uendeshaji wako uko vipi?ni salama kwako binafsi na gari lenyewe. zipo sehemu ukichezea gear gari litashindwa kwenda, ama hata kuharibu engine ,kukata shaft ,gearbox n.k. izi workshop zipo kwa usahihi sababu technolojia inakua gari za kisasa mifumo ya kisasa. ...dereva anapaswa kuifahamu mifumo hiyo. umeenda safari gari imepata itilafu ndogo tu inashindwa kwendelea na safari umngoje fundi atoke kilometa 300
Unajua gari ni kama mke nyumbani unakaa nae kila siku akinuna unajua leo nimemvuruga kwa namna moja au nyingine na tatizo kwenye gari uwa mara nyingi uanza taratibu mpaka kufikia kuaribika kabisaa, dereva mtaalam lazima ajue chombo chake anachokitumia, kwa sababu ufanyaji wake wa kazi inakuwa tofauti na siku zote, na siku zote gari kabla ya kuanza safari lazima ufanye ukaguzi wa nyuzi 360 kuanzia kulia kwenda kushoto juu na chini kuangalia kila kitu kipo sehemu yake, kisha kuliwasha gari ndipo kuanza safari, hii kazi hapa kwetu imekosa heshima tu lakini ni taaluma
 
Nina takribani miaka 12 sasa naendesha truck, hizi kazi zinachangamoto sana, hasa kwa waajiri wetu, pesa unayolipwa ailingani na kazi uifanyayo, malipo ayapo direct unalipwa pesa kidogo kwa ujira ambao umesota kwenye safari yako karibia miezi 2,na tatizo linalofanya matajiri wa Tanzania kutolipa vizuri ni mfumo wao waliojiwekea jinsi ya kupata mizigo kupitia kwa madalali, mzigo mmoja let's say contena la 40ft kutoa Dar kwenda Lubumbashi huko nyuma ilikuwa $8500/= sasa hivi watu wanakuja mpaka kwa $4500 matajiri nao wanatabia ya kupandiana bei kama unapeleka kwa $8500 ataangalia unazo kontena kama 100atakushushia bei labda mpaka $8000/= atabeba mzigo mwingine nae atakuja kubeba kwa $7500/= mpaka imefika bei ya mikono ambayo awawezi tena kushusha maana akishusha zaidi ya hapo ayakuwa anakwenda bila faidi sasa hapo ndipo na sisi madereva tunamimywa bila kupenda
Posho ya dereva kwenda lubumbashi na hilo kontena ni kiasi gani? Hiyo posho unatakiwa uitumie ndani ya muda gani?
 
Yaani hapa ndo shida ilipo mkuu gar kupatikana hiki ndicho kinatafutwa pa kuanzia maana Nit unatakiwa uwe unajua wao wanakupiga kozi fupi tu sio namna ya kuweka gia na kusepa
NiT ni kama wanakuhakiki tu na kukupa cheti hawakufundishi zaidi unapewa vikwazo tu ukivishinda unakuwa certified!
 
Back
Top Bottom