Wapi ntapata mshangazi wa kizungu?

Wapi ntapata mshangazi wa kizungu?

Nenda vingunguti wapo wengi sana
1769579755197.png
 
Guga resta tu kisha nenda zako zanzibar miezi sita haitaisha utakuwa ushapata ila uwe unatembelea ufukweni wazungu kibao , wazungu hawana mambo mengi ukimsemesha hata siku tatu haziishi anabeba mzigo
Hili nalifanyia kazi mkuu. Wacha nikusanye nauli. Itabidi wanafamilia wanchangie.
 
Labda atafute shangazi aliyejichubua halafu a-assume ni mzungu. Mwaka 2019 pale Ibungu kulikuwa na mhudumu kafungasha makalio ya dunia nzima ila ule mkorogo aliokuwa anatumia ulikuwa unakata stimu vibaya mno. Ibungu ikitajwa nakumbuka mbali sana... nilikuwa mteja wa ile bar kabla hata haijaboreshwa.
Mmmh tuko wengi duh
 
Back
Top Bottom