Wapi ntapata mshangazi wa kizungu?

Wapi ntapata mshangazi wa kizungu?

Labda atafute shangazi aliyejichubua halafu a-assume ni mzungu. Mwaka 2019 pale Ibungu kulikuwa na mhudumu kafungasha makalio ya dunia nzima ila ule mkorogo aliokuwa anatumia ulikuwa unakata stimu vibaya mno. Ibungu ikitajwa nakumbuka mbali sana... nilikuwa mteja wa ile bar kabla hata haijaboreshwa.
Matako ya dunia nzima mpaka nimecheka..
Extrovert kaka toa neno usiishie kucheka kaka 😊
 
Hapana, wewe unachowwza ni vitu vikubwa vikubwa sanaaaaa.

Utapoteza muda.

Dili na kitu kidogo huku ukikiwekea 90% ya muda na energy yako

Baada ya miaka mitano 5 au six utaanza kuwapa vijana ushauri humu
Nakupata kamanda, kwa hiyo si naanza na mshangazi mmoja tu. Nikimuwekea asilimia 90% ya muda na energy. Baada ya miaka mitano ni kama ulivyosema.
 
Back
Top Bottom