Wapi ntapata mshangazi wa kizungu?

Wapi ntapata mshangazi wa kizungu?

nenda 25lounge pale sijui jina kama nimkosea ila ipo mbezi makonde wanajita house of wine wamejaa sana pale. au sea clif nenda siku kukiwa na event pale
Si uni dalalie mmoko ki aina mkuu wa mkoa. Ila ntatimba pale, kwani nahitaji macho ya rohoni? Au ntakuta tu ma white dent
 
Shida sio kwendaa bei zake anawamudu shehee huku balaa wenyewe tunakukimbia
Walami tena wamekua wakulima!!!? 😳😳😳 mbona tafash champe. Mi nlikua natafuta kamtaji
 
Kua na Homa ya INI ni hatari zaidi kuliko kua HIV+, sikutishi lakini nakukumbusha
Nakumbuka boss. Ila imefika mahali. We have to risk, tupate rizki(nshawapa mashairi kesho utaiskia hii punchline redioni)
 
Labda atafute shangazi aliyejichubua halafu a-assume ni mzungu. Mwaka 2019 pale Ibungu kulikuwa na mhudumu kafungasha makalio ya dunia nzima ila ule mkorogo aliokuwa anatumia ulikuwa unakata stimu vibaya mno. Ibungu ikitajwa nakumbuka mbali sana... nilikuwa mteja wa ile bar kabla hata haijaboreshwa.
Kama ule wa kiongozi wa wakatoriki fake? Yule wa buza
Hahaha
 
Back
Top Bottom