Wapi ntapata mshangazi wa kizungu?

Wapi ntapata mshangazi wa kizungu?

Asee wakuu, Januari imeninyoosha kinyama. Wueeeh!!!

Fanyeni wepesi!!! Hivi ni maeneo gani ntaweza pata mshangazi wa kizungu!?? Nimfanyie kilimo cha umwagiliaji haraka upesi.

Au niingie mtandao gani nijiachie humo.


Ukikosa ukataka Limjomba la kizungu la kukuoa nijulishe.
 
Si uni dalalie mmoko ki aina mkuu wa mkoa. Ila ntatimba pale, kwani nahitaji macho ya rohoni? Au ntakuta tu ma white dent
ukienda wee kaa tu sehemu agza zako ulabu kwenye meza yoyote ukimkuta mtu ukivutiwa naye usiogope kuanzisha mazungumzio. Vaa vizuri nukia fresh ila uwe na mtaj wa kuanzia mzee wangu. ukiona huko mbali nenda karambezi
 
ukienda wee kaa tu sehemu agza zako ulabu kwenye meza yoyote ukimkuta mtu ukivutiwa naye usiogope kuanzisha mazungumzio. Vaa vizuri nukia fresh ila uwe na mtaj wa kuanzia mzee wangu. ukiona huko mbali nenda karambezi
Ka mtaji ka wese la shi ngapi ivi!
 
Ka mtaji ka wese la shi ngapi ivi!
Si unajua bei za hayo maeneo. Sasa utaanzisha Mazungumzo na mmtu inabidi pia angalu ujikakamue siku ya kwanza kama anakula kinywaji umuagizie na pale hakuna Visungura wala hakuna Kitimoto cha mapande. Hata ukikuta wako wawili mezani usiogope kuanzisha amzungumzo ila usiende huko kama mfuko unasumbua utaaibika na utaonekana kibaka
 
Si unajua bei za hayo maeneo. Sasa utaanzisha Mazungumzo na mmtu inabidi pia angalu ujikakamue siku ya kwanza kama anakula kinywaji umuagizie na pale hakuna Visungura wala hakuna Kitimoto cha mapande. Hata ukikuta wako wawili mezani usiogope kuanzisha amzungumzo ila usiende huko kama mfuko unasumbua utaaibika na utaonekana kibaka
Umetisha mkuu, kwa hiyo nikijikakamua na li fifte ivi. Kidogo si inaeleweka?
 
Naamini mwanaume kijana anaeamua kutoka kimapenzi na mshangazi, ili apewe hela na huyo mshangazi, yupo only one step away from kuwa shoga (bottom).
 
Naamini mwanaume kijana anaeamua kutoka kimapenzi na mshangazi, ili apewe hela na huyo mshangazi, yupo only one step away from kuwa shoga (bottom).
Hayo ni maoni yako ambayo pia hatuwezi kuyakataa...ila siamini kwa kweli.
 
Back
Top Bottom