Ndio zipo nauli sijajua shingapi ila Mbezi mpaka Bunju ni 1000 na gari linafika Bagamoyo.Kuna daladala za moja kwa moja kutokea mbezi kwenda Bagamoyo?
Daladala zipo laini ya pili kutoka upande wa vyoo vya stendi ya MbeziNifahamishe kaka, kama kuna daladala za mbezi to Bagamoyo basi nitumie hiyo route... Unapandia wapi hizo daladala za mbezi to Bagamoyo
Ungesema,unatokea wapi uelekezwe njia ya HARAKA na unafuu.Kwenu wana Jamiiforum, naomba kujua ni route hipi ya haraka na rahisi kupata daladala za kwenda bagamoyo, kati ya Chalinze to bagamoyo au Mlandizi to bagamoyo. Na nauli ikoje kutoka hayo maeneo kwenda bagamoyo.
Natanguliza shukran za dhati
Ukitoka vyoo vya stendi ya Mbezi unahesabu line ya kwanza, ya pili ndio zinazopakia.Daladala zipo lain ya pili kutoka upande wa vyoo vya stendi ya mbezi
Barabara ya Kibaha to Bagamoyo via Vikawe imefungwa ipo kwenye ujenziUngesema,unatokea wapi uelekezwe njia ya HARAKA na unafuu.
Mwisho kabisa, jaribu kutumia Google map.
Search umbali kutoka mlandizi kwenda bagamoyo like chalinze kwenda bagamoyo.
Kama unatokea nyuma ya mlandizi pitia njia ya mlandizi.
Ikiwa unatokea kibaha pitia njia ya kibaha.
Kama unatokea mbele ya mlandizi kuanzia mbele ya vigwaza pitia njia ya chalinze.
Mwisho kabisa.
Njia ya mlandizi ni shortcut nzuri Sana.
Chalinze kuikuta bagamoyo ni kipande Cha haja.
Chalinze-bagamoyo
100Km gari ni 1:30
Mlandizi-bagamoyo 60Km gari ni 40Mn ila kwa Sasa Kuna mvua Ile barabara changamoto.
Kibaha-bagamoyo ni 54Km
Kupanga ni kuchagua.
Asante sana kaka... Google map pia uwa ni nzuri, shida ni kujua gari zinapatikana wapi, pia nilishawahi kutumia Google map, ikanipitisha barabara mbovu sana, mpaka nikajuta... Kibongo bongo google map bora uulize.Ungesema,unatokea wapi uelekezwe njia ya HARAKA na unafuu.
Mwisho kabisa, jaribu kutumia Google map.
Search umbali kutoka mlandizi kwenda bagamoyo like chalinze kwenda bagamoyo.
Kama unatokea nyuma ya mlandizi pitia njia ya mlandizi.
Ikiwa unatokea kibaha pitia njia ya kibaha.
Kama unatokea mbele ya mlandizi kuanzia mbele ya vigwaza pitia njia ya chalinze.
Mwisho kabisa.
Njia ya mlandizi ni shortcut nzuri Sana.
Chalinze kuikuta bagamoyo ni kipande Cha haja.
Chalinze-bagamoyo
100Km gari ni 1:30
Mlandizi-bagamoyo 60Km gari ni 40Mn ila kwa Sasa Kuna mvua Ile barabara changamoto.
Kibaha-bagamoyo ni 54Km
Kupanga ni kuchagua.
PamojaDah... Asante sana Kaka, stay blessed mzee baba
Sawa, basi Kama unatokea kuanzia kimara Hadi kibaha.Asante sana kaka... Google map pia uwa ni nzuri, shida ni kujua gari zinapatikana wapi, pia nilishawai kutumia Google map, ikanipitisha barabara mbovu sana, mpaka nikajuta... Kibongo bongo google map bora uulize
Asante sana kakaSawa, basi Kama unatokea kuanzia kimara Hadi kibaha.
Panda gari mbezi mwisho zipo gari za kwenda bagamoyo nauli ni 2000-2500
Kama unatokea nje ya hayo maeneo.
Chukua gari za bunju then ukifika bunju Kuna gari za kumwaga kwenda bagamoyo.
mlandizi mpaka mbezi ni 2,200/= ingawa pia ukiwa na 2,000/= wanachukua.Mlandizi to mbezi.1500 Then mbezi to bagamoyo. 1000