Unamaanisha kutoka kwao moja kwa moja ....Sema bro kuna wafanyakazi wa ndani ya kampuni ya bakhresa wanaweza kufanikisha kupata hiyo mikate kwa njia za panya , kwa bei cheemkuu unafkiri mikate ya bakhresa sehemu gani inapatikana kwa bei rahisi zaidi?
yeahp....unamaanisha your freedom vpn?
nimesoma kwa page yao nimeona kama bei ziko juu ...mfano vocha yenye kukupa bundle la masaa 6 kwa speed ya 1mb/s ni kam elfu 5 kasoro...sasa sijajua labda me ndio sijazielewa au vp ?....kwa mnaotumia , Je voucher zip ni economic kwa speed ya 1mb/s ?mkuu unafkiri mikate ya bakhresa sehemu gani inapatikana kwa bei rahisi zaidi?
ukinunua kwa jumla utapata bei rahisi zaidi kuliko ambazo mtu ananunua reja reja.Unamaanisha kutoka kwao moja kwa moja ....Sema bro kuna wafanyakazi wa ndani ya kampuni ya bakhresa wanaweza kufanikisha kupata hiyo mikate kwa njia za panya , kwa bei chee
sababu wewe sio reseller umeenda kwenye carnet umekuta vifurushi ambavyo havifai. ukisoma hio link wakieka id yako kama reseller automatic vitatokea vya mwezi.nimesoma kwa page yao nimeona kama bei ziko juu ...mfano vocha yenye kukupa bundle la masaa 6 kwa speed ya 1mb/s ni kam elfu 5 kasoro...sasa sijajua labda me ndio sijazielewa au vp ?....kwa mnaotumia , Je voucher zip ni economic kwa speed ya 1mb/s ?
Thank you Chief. Sikulijua hili.sababu wewe sio reseller umeenda kwenye carnet umekuta vifurushi ambavyo havifai. ukisoma hio link wakieka id yako kama reseller automatic vitatokea vya mwezi.
bei ya reja reja kwa mwezi ni euro 1 ambayo ni sawa na shilingi 2765 kwa hio 1mbps kwa simu
hivi vifurushi vya 2656 wauzaji hawatuuzi wanatukandamiza na vile vya kwanzia elfu 20 wakati wengine hatutumia zaidi ya GB3 Kwa mwezisababu wewe sio reseller umeenda kwenye carnet umekuta vifurushi ambavyo havifai. ukisoma hio link wakieka id yako kama reseller automatic vitatokea vya mwezi.
bei ya reja reja kwa mwezi ni euro 1 ambayo ni sawa na shilingi 2765 kwa hio 1mbps kwa simu
nashangaa et kwa bei rahsmkuu unafkiri mikate ya bakhresa sehemu gani inapatikana kwa bei rahisi zaidi?
Mkuu hiyo kwa mwezi unapewa mb's ngapi?sababu wewe sio reseller umeenda kwenye carnet umekuta vifurushi ambavyo havifai. ukisoma hio link wakieka id yako kama reseller automatic vitatokea vya mwezi.
bei ya reja reja kwa mwezi ni euro 1 ambayo ni sawa na shilingi 2765 kwa hio 1mbps kwa simu
Unlimited lakini max speed ni 1mbps ndo hio Euro mojaMkuu hiyo kwa mwezi unapewa mb's ngapi?
Dah nashukuru mkuu...naomba unidadavulie zaidi hiyo aya ya mwisho..Unlimited lakini max speed ni 1mbps ndo hio Euro moja
Ama unlimited ambayo max speed ni sawa na mtandao wako kwa Euro 2 ambayo ni kama 5000 hivi.
Sema hio ni vpn sio kifurushi cha internet, kifurushi unanunua separate.
Vpn (virtual private network) watu wanatumia kuficha mambo wanayofanya internet,Dah nashukuru mkuu...naomba unidadavulie zaidi hiyo aya ya mwisho..
OK sawa...sasa hapo kwenye vpn wanaposema unlimited 1mbs...hiyo unlimited ni nn kipi wanakupa unlimited?Vpn (virtual private network) watu wanatumia kuficha mambo wanayofanya internet,
Chukulia mfano upo chuo na wifi ya chuo wanakataza kuingia youtube, ukitumia vpn utaweza kuingia youtube kirahisi tu.
Bandwidth mkuu. Chukulia mfano wa vifurushi vya internet.OK sawa...sasa hapo kwenye vpn wanaposema unlimited 1mbs...hiyo unlimited ni nn kipi wanakupa unlimited?
ni nini hiyo freedomAmani iwe pamoja nanyi wakuu. Kama kichwa kinavyostate, Naomba msaada kwa yeyote ambaye anaweza fahamu namna naweza pata voucher za freedomvpn kwa bei nafuu.