nusuhela
JF-Expert Member
- Jan 26, 2014
- 5,736
- 6,972
Ndio maana mimi nasema ccm haifai. Mtu akijitoa tu, anaanza kufuatiliwa na kuwekewa vikwazo. Huu mfumo hautakiwi kwenye jamii za watu waliostaarabika.Hahahaaa I know.
But at least they should make it official.
Bado anagombea au hagombei?
Halafu natabiri atarudi tu CCM....you watch this space.
Sasa hivi kawa irrelevant hadi anatia huruma.
Nawachukia raia wa kawaida wasioliona hili.
Hawa jamaa wamejichimbia wanatafuna ilihali watu wao wanateseka.
Akitokea mtu akahama kwao, wanamuandama na kumrudisha nyuma mpaka atarudi kundini