Wapenzi kuoga pamoja

Wapenzi kuoga pamoja

Jamaa atakuwa amesahau jembe......miaka 3 hajawahi kuoga na mke....hata kwa dharura licha ya mapenzi???? Kuna shida mahali, mwenzie kanogeshewa na mashosti zake wanaojua penzi la kurejeshea mwili joto anaweweseka....Nijuavyo baadhi ya wanawake mchepuko uko njiani.
 
Kama kila mtu anamwili wake, kwa nini wewe unapenda kumnanihii katika mwili wake?

Achia mwili wewe ila usimruhusu kugusa masaburi yako si ndio mjumbe Valentina?

Kwenye haya mambo huyu 'Valentina' ndio anaitwa sana, sijui ndio fundi au mkufunzi
 
Last edited by a moderator:
huyo mpenz wake itakua alipata mwanaume mwngne akafanyiwa mambo hayo,angalien san wenye madem mpenz wako akidai vitu tofaut na kawaid itabid ujiulize why!
 
Wadau,

Nimesukumiwa kesi na rafiki yangu wa karibu nikashindwa kuitolea suluhisho ndipo nimeamua niiweke humu jamvini tupeane mawazo. Alinitaarifu kuwa nyumbani kwake moto unawaka ana muda wa mwezi sasa hajapata unyumba kisa yeye binafsi hataki kuoga na mkewe. Anasema toka wameoana yapata miaka mitatu iliopita hawakuwa na huo utaratibu.

Lakini ghafla kuanzia mwanzoni mwa mwaka huu mkewe anataka wawe wanaoga wote kitu ambacho yeye hakiafiki kabisa, kikubwa ni kuwa hana sababu ya msingi ya kukataa zaidi ya kudai kuwa yeye hajazoea na hataki hilo jambo.

Sasa naombeni wadau mnipe mawazo ambayo yanaweza kumsaidia huyu bwana ili akubaliane na hiyo hoja ya mkewe na hatimaye apewe tena unyumba kwa faida yake mwenyewe. Kwa wale wajuzi wa haya mambo labda ingesaidia pia kama mtatuwekea uzuri na ubaya wa hili jambo kwa wanandoa au wapenzi.

Kuoga pamoja inategemea na mazingira uliyopo huwezi kuwa kwenye nyumba ya kupanga, bafu la doleni ukaenda kuoga na mke wako, then hata kama upo kwako hii inapendeza mkiwa master bedroom kwani vyote mnavyofanya huko vinakuwa siri yenu, pia ukumbuke watoto huiga pale wanapoona jambo hili swala unapoliweka wazi ndani ya familia ni rahisi sana watoto kuiga na kujifunza. Si vibaya kuoga pamoja ila ni vyema ikawa siri kati ya wawili tu
 
Hapo jamaa alijurupuka kuoa, hana yale mapenzi ya dhati kwa mkewe, huwenda ata sehemu ya siri ya mkewe hajui inafananaje, pia nahisi sababu nyingine jamaa anaona aibu wakati akiinama mkewe atamchungulia huko nyuma.

Dah! Wewe kwani unahisi huko nyuma kwa mumewe kuna nini
 
Back
Top Bottom