Wapenzi kuoga pamoja

Wapenzi kuoga pamoja

huyo mpenz wake itakua alipata mwanaume mwngne akafanyiwa mambo hayo,angalien san wenye madem mpenz wako akidai vitu tofaut na kawaid itabid ujiulize why!

Wenye hoja hizi mwanishangaza!!!!
Hamtakaa mpate vitu vizuri maana hamtaki ubunifu. Acheni hizo.
 
Wadau,

Nimesukumiwa kesi na rafiki yangu wa karibu nikashindwa kuitolea suluhisho ndipo nimeamua niiweke humu jamvini tupeane mawazo. Alinitaarifu kuwa nyumbani kwake moto unawaka ana muda wa mwezi sasa hajapata unyumba kisa yeye binafsi hataki kuoga na mkewe. Anasema toka wameoana yapata miaka mitatu iliopita hawakuwa na huo utaratibu.

Lakini ghafla kuanzia mwanzoni mwa mwaka huu mkewe anataka wawe wanaoga wote kitu ambacho yeye hakiafiki kabisa, kikubwa ni kuwa hana sababu ya msingi ya kukataa zaidi ya kudai kuwa yeye hajazoea na hataki hilo jambo.

Sasa naombeni wadau mnipe mawazo ambayo yanaweza kumsaidia huyu bwana ili akubaliane na hiyo hoja ya mkewe na hatimaye apewe tena unyumba kwa faida yake mwenyewe. Kwa wale wajuzi wa haya mambo labda ingesaidia pia kama mtatuwekea uzuri na ubaya wa hili jambo kwa wanandoa au wapenzi.

Si bure kuna jambo kubwa limejificha hapo.
Sema watu wazima tu ndio tunaona.
 
Kama hataki mwambie wengie wataonga naye hadi kumlamba lamba shauri yake
 
Wenye hoja hizi mwanishangaza!!!!
Hamtakaa mpate vitu vizuri maana hamtaki ubunifu. Acheni hizo.

Usiwashangae,mwingine akifikiria bafu lenyewe lazima aone kuoga wawili kero!
 
Sasa akija kuumwa mpaka akashindwa kujihudumia mwenyewe kujisafisha haja zote atakataa wife wake asimuogeshe?
 
Hakuna tatizo hata kidogo kuoga pamoja,vinginevyo labda mmoja wenu hajiamini kimaumbile....
 
Back
Top Bottom