Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,369
- 176,206
Hapa shemeji sina
Yaani andika dash maana huna kabisaaaaa
Hapa shemeji sina
Hapo jamaa alijurupuka kuoa, hana yale mapenzi ya dhati kwa mkewe, huwenda ata sehemu ya siri ya mkewe hajui inafananaje, pia nahisi sababu nyingine jamaa anaona aibu wakati akiinama mkewe atamchungulia huko nyuma.
Hapa shemeji sina
Yaani andika dash maana huna kabisaaaaa
wewe tena ndio wa kuniharibia lol!
Sidhani kama kuoga pamoja kuna manufaa yeyote katika mahusiano, maana kila mtu anamwili wake na lazima anaoga kwa utaratibu anaoujua mwenyewe, ila lada tu inawezekana kuwa huyo mkewe anajisikia raha akipatiwa bao eneo la uwanja wa bafuni, vinginevyo sioni kitu cha kuleta ugomvi hapo mpaka kunyimana unyumba,