Lazima kuna jambo au ndio makungwi wa fesibuku tena.kama huyo mama hakuwa na tabia hiyo miaka ya nyuma kaitoa wapi?
Yaani we acha tu, haswa unaponisuguaga mgongo, duuuh usifanye nitake kuoga tena
Mimi kila siku asubuhi na jioni lazima nioge na mke wangu.
hebu kwanza tufahamishe, aina ya nyumba na bafu! isije kuwa zile nyumba za vyumba sita bafu moja ndio mke anang'ang'ania kuoga na mumewe!!
hebu kwanza tufahamishe, aina ya nyumba na bafu! isije kuwa zile nyumba za vyumba sita bafu moja ndio mke anang'ang'ania kuoga na mumewe!!
Na my Viol
naomba kukusugua mgongo na mapaja
Wanaishi nyumba ya kupanga yenye bafu la passport size lililo nje nini?!!
mbona wengine wavyumba12 na wanaenda kuoga wote?? huyo mahaba hawezi na huba hazijui
njoo basi tuoge!
mmmh! toka lini amekuwa baby wako huyu?
kama huyo mama hakuwa na tabia hiyo miaka ya nyuma kaitoa wapi?
mmmh! toka lini amekuwa baby wako huyu?