Wapenzi kuoga pamoja

Wapenzi kuoga pamoja

Hajielewi,jamaa ana act kama mtu wa kijijini,maana ndo zao kufanya tendo mpaka taa izimwe

Na mda wa tendo havui nguo au anafungua zipu tu kama yuko msalani anakojoa!......Mwambie asubiri kumegewa sasa asipo oga na mkewe ataoga na nani? Na je kama mwanamke akitaka kitu ambacho ni haki yake akipate ndani ya ndoa yeye anakataa ajue huku njee akija tunampa,,,,,,inshort akikosa ndani atapewa njee.....................ni haya tu kwa leo..
 
Tena hakuna kitu nachopenda kama kuoga na wife wangu ,,,,Na hata michepuko niliyopiga chini inapenda huduma yangu kwani dawa ya mwanamke sio kumbishia au kumkatalia kitu ambacho yy anauhakika unaweza kumtendea au kumfanyia hizo ni baadhi ya huduma kwa mwanandoa sasa kama hawez kuoga nae....Siku akiambiwa avae kufuli lake aendee job ataweza? Mapenzi ni ubunifu na ujasiri na uthubutu......Naomba anikod siku moja nimpe tuition
 
Na mda wa tendo havui nguo au anafungua zipu tu kama yuko msalani anakojoa!......Mwambie asubiri kumegewa sasa asipo oga na mkewe ataoga na nani? Na je kama mwanamke akitaka kitu ambacho ni haki yake akipate ndani ya ndoa yeye anakataa ajue huku njee akija tunampa,,,,,,inshort akikosa ndani atapewa njee.....................ni haya tu kwa leo..

Inawezekana mke ashazoea kuoga na ex wake kabla hajaolewa,sasa kaolewa hamna kusuguana migongo
 
Kama huyo mama hakuwa na tabia hiyo miaka ya nyuma kaitoa wapi?
 
Hapana mkuu wamejaliwa kuwa na nyumba yao wenyewe tena isitoshe wana bafu lao chumbani tofauti na vyumba vingine.
Duh kama ni hivyo hapo kweli jamaa hana sababu ya msingi yakukataa.
 
Kwani sheria ya ndoa haijui #nguo zote zinalala kwenye kamba huku nyie mkibaki watupu# then ndo ushindwe kuoga,??? "Marriage act"
 
stephot

hebu kwanza tufahamishe, aina ya nyumba na bafu! isije kuwa zile nyumba za vyumba sita bafu moja ndio mke anang'ang'ania kuoga na mumewe!!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom