Mkuu kule kileleni kabisa ya mlima Kilimanjaro ni ngumu sana,kupiga mambo kutokana na baridi kali mno(barafu) kwa hiyo hata hisia za kula mzigo ni ngumu,fikiria hata kufungua zipu ni ngumu sembuse kula mzigo..??Hivi kule juu kileleni kabisa ya mlima. Mtu ukiwa na wife wako unaweza piga mambo? Itakuwa Kaukumbusho kazuri sana.
Nje ya bara la africa. Nasubiri majibu . AsanteNdio,kama ni raia wa EAC,nje ya hapo niambie nikupe bei yake.
kwa hiyo wapendanao kikubwa watakachofurahia kwenye hii safari ni chakula cha usiku hamna jambo lingine la muhimu,..
Lazima afike kileleni.....
bonge ya memory mazee
1200 USD.All inclusive(Park,Camping,Rescue fees,Meals,Guide&Porters salaries,Camping equipments,Transfer from/to Machame gate) Mpaka sasa tayari tuna wanawake 2 toka UK,Pia 23.12.2013 kuna departure nyingine via Machame route kwa siku 6 nayo pia ina 2 women from Russia. Karibuni sana kujoin..!Nje ya bara la africa. Nasubiri majibu . Asante
Kwenye list yangu sikuoni,labda list yako mwenyewe.Mpaka sasa kuna watu 5 toka JF/MMU ambao tayari wameshalipa deposit..!....hii ni nafasi nzuri kwetu watanzania wazalendo...tujivunie vya kwetu... nipo kwenye list tayari.....