Hapo ni baada ya kutu dhurumu Maisha bora tuliyo kuwa nayo! kutoka kwa Taifa letu, lenye nguvu kubwa Duniani! enzi hizo yaani ''Ancient Egypt'' hii ndo ilikuwa adhabu yao hao wazungu! tulifukuzwa tukachakazwa kwa vichapo vya kila aina!! na Alexander the Great!!
aka wachomeka nduguze ptolemy!! ambao nao walianza kula bata,kuoa weusi, wakazaa arabs wakasahau kuwasaidia ndg zao!! mpaka baadae sana! miaka km hii uko Ulaya!! sisi tunakula Bata Misri!
huku kusini mwa jangwa la sahara tulisukumwa tu na vita! na mpaka sasa tulianza moja lkn sisi ni vijogooo hasa!! angalia leo tulipo! na hata wao wako ivo ajili yetu sisi!