Kada zenye watumishi wa umma wenye kutoa huduma maeneo ya vijijini mfano afya,elimu na kilimo,kada hizi zinaongoza Kwa watumishi hao kulala chumba kimoja, kutokana na ukosefu wa nyumba za watumishi hao wa umma.
Utakuta nyumba moja ina vyumba vitatu na ni maalum Kwa familia moja lakini kutokana na ukosefu wa nyumba na kuwepo na makazi duni maeneo wanayohudumu, watumishi wa umma wanajikuta Wapo kwenye mkumbo huo,unaodhalilisha utu na faragha zao na kushusha molari ya kufanya kazi.
Tembelea mkoa wa Pwani maeneo ya pembezoni mfano maeneo ya pembezoni mwa wilaya za Kibaha Vijijini, Bagamoyo, Kisarawe, Mkuranga na Rufiji maeneo yake ya pembezoni yanatajwa ni maeneo yenye mazingira magumu kwa mtumishi wa umma kufanya kazi.
Utakuta nyumba moja ina vyumba vitatu na ni maalum Kwa familia moja lakini kutokana na ukosefu wa nyumba na kuwepo na makazi duni maeneo wanayohudumu, watumishi wa umma wanajikuta Wapo kwenye mkumbo huo,unaodhalilisha utu na faragha zao na kushusha molari ya kufanya kazi.
Tembelea mkoa wa Pwani maeneo ya pembezoni mfano maeneo ya pembezoni mwa wilaya za Kibaha Vijijini, Bagamoyo, Kisarawe, Mkuranga na Rufiji maeneo yake ya pembezoni yanatajwa ni maeneo yenye mazingira magumu kwa mtumishi wa umma kufanya kazi.