kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 9,000
- 17,909
Kuna heshima kubwa sana kuitwa Baba mjengo jenga hata chumba kimoja
Hivi kuna heshima kubwa kwa hapa mjini kama kuitwa baba mjengo?
Hakuna jambo lina faraja kama hilo, nimesema hili kwasababu nimeona kuna mtu nimeona anatangatanga huku na kule na mateso anayopata nyumba za kupanga
Nyumba za kupanga wakati mwingine ni utumwa huwa nashauri watu wakati mwingine wajenge hata chumba kimoja tu wahamie aweke kwanza kambi huku akiendelea kuchapa kazi na kuwaza kujenga nyumba ya ndoto yake mwishowe hicho chumba kimoja ulojenga na kukaa kwa muda unakuja kukipangishia wewe unakua ushajenga ya ndoto zako
Wengi wanatamani kujenga mjengo wa maana kwanza wakati kiwango hakitoshi, sikiliza kama unaona shida na nyumba za kupanga nunua kajikiwanja jenga kanyumba ka mchongo hata vyumba viwili au chumba kimoja hapo utakaa kusave hela za kulipa makodi kila mwezi na itaondoa stress za kulipa makodi kila mwezi pia hii itakupa mwanga wa kujidunduliza kujenga nyumba ya ndoto yako nyengine
Ila natoa indhari, kama unajenga hicho chumba kimoja km ni mbali na shughuli zako please usifanye hivyo endelea tu kubaki kwenye upangaji huku ukipambana
Ila kuwa mwenye nyumba raha sana
Hivi kuna heshima kubwa kwa hapa mjini kama kuitwa baba mjengo?
Hakuna jambo lina faraja kama hilo, nimesema hili kwasababu nimeona kuna mtu nimeona anatangatanga huku na kule na mateso anayopata nyumba za kupanga
Nyumba za kupanga wakati mwingine ni utumwa huwa nashauri watu wakati mwingine wajenge hata chumba kimoja tu wahamie aweke kwanza kambi huku akiendelea kuchapa kazi na kuwaza kujenga nyumba ya ndoto yake mwishowe hicho chumba kimoja ulojenga na kukaa kwa muda unakuja kukipangishia wewe unakua ushajenga ya ndoto zako
Wengi wanatamani kujenga mjengo wa maana kwanza wakati kiwango hakitoshi, sikiliza kama unaona shida na nyumba za kupanga nunua kajikiwanja jenga kanyumba ka mchongo hata vyumba viwili au chumba kimoja hapo utakaa kusave hela za kulipa makodi kila mwezi na itaondoa stress za kulipa makodi kila mwezi pia hii itakupa mwanga wa kujidunduliza kujenga nyumba ya ndoto yako nyengine
Ila natoa indhari, kama unajenga hicho chumba kimoja km ni mbali na shughuli zako please usifanye hivyo endelea tu kubaki kwenye upangaji huku ukipambana
Ila kuwa mwenye nyumba raha sana