mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 39,286
- 44,852
acha ubishi basi.
Mimi nauza hardware .najua kuhusu cement.
Kuna watu Wana mwezi hawajashushiwa cement.
Kama cement ipo madukani kwanini ipande Bei?.
Mimi nauza hardware .najua kuhusu cement.
Kuna watu Wana mwezi hawajashushiwa cement.
Kama cement ipo madukani kwanini ipande Bei?.
Wewe unaongea nini ndugu, Cement ipo madukani tatizo ni bei na sio uhaba wa cement.