mwanamasala
JF-Expert Member
- Jun 20, 2009
- 248
- 12
Tangu uhuru makabila haya yamepigwa chini na makabila madogo madogo!Maendeleo ya mikoa yao yako chini sana,ingawa natural resources nyingi zinatoka huko.Kisiasa tangu akina James Mapalala,Kasanga Tumbo,
Chief Fundikira na Chief Makwaia wapigwe chini na Nyerere ,mikoa hiyo haina uwakilishi kabisa katika maamuzi ya serikali.
Ukiangalia mafisadi wengi wanatoka makabila madogo madogo!Wapinzani wa serikali pia ni kutoka makabila madogo.Mpaka haya makabila yaibuke ,yaseme enough is enough,ufisadi na stupidity ya nchi yetu utaendelea milele.Tujadili!!!!!!!!!!!!!!!!
Aha,Chenge na proportionality ya watu wote ni kidogo sana!
Sio ukabila ni facts!Ukweli uuma!
Julius umelewa!hapa ni free media,kuifunga thread hii ni kama serikali kufungia gazeti!
Duuh. Nahene nkoi.
Wewe lazima utakuwa ni Mgoyangi tu, kwani huyo nyoka si mchezo!.Duuh. Nahene nkoi.
Wewe lazima utakuwa ni Mgoyangi tu, kwani huyo nyoka si mchezo!.
Du unatutisha wenzio bana!.
Nene ngalu gete, natamanile mashikolo ka bofisadi.
Hiiiiiiii, naliho nkoi, neyoo nkoi nalelema numbu gite natena masala.Bebe nang'ho buli ujimelile geko?
Ng'wanamasala ate na masala gete!
Waambie bana yaani hatuelewi kabisa wanachoongea !.chu! bing'we! ng'wandya gujisha ja mukaya ghete? lekagi bhuchilu, bhangi bhatomana mliyomba ki!
chu! bing'we! ng'wandya gujisha ja mukaya ghete? lekagi bhuchilu, bhangi bhatomana mliyomba ki!