Wakuu nina Balloon Mark II ya mwaka 1995 bado inatembea barabarani nataka kuiuza. Anayehitaji kama chuma chakavu au kwa ajili ya kutembelea naomba tuwasiliane kwa namba hii: 0785 872 256.Kula 1.5ml mkuu
Wakuu nina Balloon Mark II ya mwaka 1995 bado inatembea barabarani nataka kuiuza. Anayehitaji kama chuma chakavu au kwa ajili ya kutembelea naomba tuwasiliane kwa namba hii: 0785 872 256.Kula 1.5ml mkuu
Kwanini wafanyabiashara wa Kitanzania hawaeki bei wanapokuwa wanatangaza biashara?Wakuu nina Balloon Mark II ya mwaka 1995 bado inatembea barabarani nataka kuiuza. Anayehitaji kama chuma chakavu au kwa ajili ya kutembelea naomba tuwasiliane kwa namba hii: 0785 872 256.
Kwa baloon hiyo ni pesa mingi sanaNinaiuza kwa shilingi milioni mbili na nusu tu. 2,500,000/= tu
nategemea tu na mfuko wa mnunuzi!Kwa baloon hiyo ni pesa mingi sana
Nitumie namba yako mkuu tufanye biasharaMi nina mazda pick up,km strepa ilikua na matatizo ya pump ikakaa kama mwaka bila matengenezo naitaji 2.5..mwenye uitaji aje pm..body bado ina hali nzuri tu.
Hela yako ina thamani lakini si kwa gari hii. Sio gari mbovu kama unavyofikiri laaah hasha
Karibu
Niuzie Nayo kwa mkopo boss wangu. Nita kupa M2 ila nitailipa kwa awamu 3. Vibari utabaki Navyo.Nina Toyota Avensins inatembea tatizo vibari miaka 3 inadaiwa 2.8 mil
Kuna mark 2 gx 100 sio mbaya sana inahitaji matengenezo kdg tu,,km hutojali .0754308621leteni magari mabovu hapa wanunuzi wapo kwa ajili ya kuchinja na chuma chakavu naona gari mbili tu