Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 67,033
- 173,715
Atagundulikanaje sasa? Hivi watu wangapi wanacheat kwenye ndoa zao na maisha yanaendelea tu. Unatafutaje suluhu na mtu ambaye hutakaa uafikiane nae.Aki.t.o.m.b.a nje furaha kwenye ndoa yake ndio itarejea? Tena hapo ndio ataharibu maana ipo siku atakamatwa na matokeo yake hayatakuwa mazuri, anaweza akajikuta anapoteza kile anachokilinda sasa hivi. Mshauri kama ndoa imegoma waachane tu kwanza bado ana umri mdogo hao ndugu wa mke hata wakimfanyia figisu kwenye biashara zake bado ana nafasi ya kuanza upya. Mwisho wa siku happiness is the ultimate goal of life, hata akiwa na mahela mengi kama akirudi nyumbani furaha hamna bado atapata tabu sana
Jamaa ana stake kwa ndugu wa mke akiachana nao inamaana maisha yanarudi nyuma. Hio ndio hofu yake.
Are you ready to spoil your future kwa sababu ambazo zingeweza kuepukwa, tena akibidi azae hata nje hio sawa tu.