Chachu Ombara
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 5,897
- 10,358
Watu wanne wamefariki na wengine 21 kujeruhiwa baada ya gari dogo la abiria aina ya hiece lenye usajili namba T339 DBV lililokuwa lilitoka Izibya kwenda Bukoba mjini mkoani Kagera kupata ajali eneo la Kyetema.
Kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa Kagera ACP Brasius Chatanda amesema kuwa ajali hiyo imetokea kutokana na uzembe wa Dereva.
Kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa Kagera ACP Brasius Chatanda amesema kuwa ajali hiyo imetokea kutokana na uzembe wa Dereva.