Wanawake wenzangu wenye vitanzi (IUD), mnaendeleaje?

Wanawake wenzangu wenye vitanzi (IUD), mnaendeleaje?

Zurie

JF-Expert Member
Joined
Jul 6, 2014
Posts
2,059
Reaction score
5,778
Habari,

Hii ni kwa wanawake wenzangu ambao wanatumia uzazi wa mpango aina ya IUD (Intra-uterine Device) au Kitanzi.

How are you guys? Vinawapa maudhi kama kilivyoninyoosha mimi au mmetulia?

I have to say nili-opt kutumia IUD sababu niliambiwa haina maudhi, na niliweka a copper IUD nikiambiwa ni non-hormonal yaani hakiingilii mifumo ya homoni. Miaka miwili ya mwanzo naona niliishi nacho tu poa.

Kuanzia around February 2025, nikaanza kupata periods zinazodumu siku 8 hadi 10, tumbo likawa linauma Mungu hapendi, nikipona yeast infection napata BV na mzunguko unaendelea hivyo.

Nimetoa IUD tangu November 2025. Kila kitu kimetulia! Yaani periods zangu zimerudi kuwa normal, sipati infections anymore na wala siumwi tumbo.

Tatizo ni kwamba; NIMEKIMISS. Namiss maisha yangu ya kuwa siwazi kupata ujauzito. Maana huku kwenye ndoa muda wowote unamwagiwa ndani, sipendi kukaa roho juu kabisaa. Niweke tena nikitumaini nitatulia miaka miwili mingine?
 
Habari,

Hii ni kwa wanawake wenzangu ambao wanatumia uzazi wa mpango aina ya IUD (Intra-uterine Device) au Kitanzi.

How are you guys? Vinawapa maudhi kama kulivyoninyoosha mimi au mmetulia?

I have to say nili-opt kutumia IUD sababu niliambiwa haina maudhi, na niliweka a copper IUD nikiambiwa ni non-hormonal yaani hakiingilii mifumo ya homoni. Miaka miwili ya mwanzo naona niliishi nacho tu poa.

Kuanzia around February 2025, nikaanza kupata periods zinazodumu siku 8 hadi 10, tumbo likawa linauma Mungu hapendi, nikipona yeast infection napata BV na mzunguko unaendelea hivyo.

Nimetoa IUD tangu November 2025. Kila kitu kimetulia! Yaani periods zangu zimerudi kuwa normal, sipati infections anymore na wala siumwi tumbo.

Tatizo ni kwamba; NIMEKIMISS. Namiss maisha yangu ya kuwa siwazi kupata ujauzito. Maana huku kwenye ndoa muda wowote unamwagiwa ndani, sipendi kukaa roho juu kabisaa. Niweke tena nikitumaini nitatulia miaka miwili mingine?
Nilishawahi kutumia hormonal IUD, sikupata madhara wala maudhi yoyote na baada ya miezi 7 period ikakata kabisa.

Kilivyotolewa, nilipata maumivu nikaahirisha kuweka kingine, ila NAKIMISS pia 😂 nafikiria kuweka tena nisije pata mimba ya uzeeni!
 
dah hapa mzungu ametunyoosha sana hizi ndoa za kisomi.,,,hapo ukute una 30 kwenda juu unaleta hizi porojo...na nikwambie tu unaweza kaa hata miaka mi2 ukijaribu mimba usipate...hope mmeo anajua hili kuna jamaa yangu alipogundua na ndoa ikaishia hapo hapo
 
Nilishawahi kutumia hormonal IUD, sikupata madhara wala maudhi yoyote na baada ya miezi 7 period ikakata kabisa.

Kilivyotolewa, nilipata maumivu nikaahirisha kuweka kingine, ila NAKIMISS pia 😂 nafikiria kuweka tena nisije pata mimba za uzeeni!
Mimi pia yani nakimiss sana. Miezi 3 tu nimenyooka!
 
dah hapa mzungu ametunyoosha sana hizi ndoa za kisomi.,,,hapo ukute una 30 kwenda juu unaleta hizi porojo...na nikwambie tu unaweza kaa hata miaka mi2 ukijaribu mimba usipate...hope mmeo anajua hili kuna jamaa yangu alipogundua na ndoa ikaishia hapo hapo
Kwani nimesema sina watoto ndugu yangu? Unataka nizae 10 nishindwe kuwasomesha walimwengu mnicheke?
 
Hebu zaeni ndio kazi iliyowaleta hapa Duniani.
Akizaa mkeo inatosha 😎

Leaving Rachel Mcadams GIF by 20th Century Fox Home Entertainment.gif
 
Wanadamu wa sasa tunapenda ngono kama chakula.

Siku za hatari kwa mwanamke ni 7-10 tu. Kuanzia siku ya 10 hadi ya 18 au 20 mkiweza.

Sasa hizo siku 10 mwanaume eti anashindwa kuvumilia, ni uzembe wa kifisi.

Na wanaume inabidi wajue kukaa japo wiki 2 straight kwa mwezi bila kusex inakufanya u-recharge mwili na inner energy yako inakuwa kubwa.

Kiasi kwamba siku ukimkamata mkeo anafeel kama kakutana na mtu mpya.
 
dah hapa mzungu ametunyoosha sana hizi ndoa za kisomi.,,,hapo ukute una 30 kwenda juu unaleta hizi porojo...na nikwambie tu unaweza kaa hata miaka mi2 ukijaribu mimba usipate...hope mmeo anajua hili kuna jamaa yangu alipogundua na ndoa ikaishia hapo hapo
Miaka yake inahusika nin na alichokiandika
Na unadhan mtu unaweka njia ya uzaz wa mpango bila kumshirukisha mwenza wako ? Mbona watu mnapurupukaga huko mkadhan mnajua maisha ya watu? Au hizi mada za jamii forum zinawatoa akili zenu
 
Habari,

Hii ni kwa wanawake wenzangu ambao wanatumia uzazi wa mpango aina ya IUD (Intra-uterine Device) au Kitanzi.

How are you guys? Vinawapa maudhi kama kilivyoninyoosha mimi au mmetulia?

I have to say nili-opt kutumia IUD sababu niliambiwa haina maudhi, na niliweka a copper IUD nikiambiwa ni non-hormonal yaani hakiingilii mifumo ya homoni. Miaka miwili ya mwanzo naona niliishi nacho tu poa.

Kuanzia around February 2025, nikaanza kupata periods zinazodumu siku 8 hadi 10, tumbo likawa linauma Mungu hapendi, nikipona yeast infection napata BV na mzunguko unaendelea hivyo.

Nimetoa IUD tangu November 2025. Kila kitu kimetulia! Yaani periods zangu zimerudi kuwa normal, sipati infections anymore na wala siumwi tumbo.

Tatizo ni kwamba; NIMEKIMISS. Namiss maisha yangu ya kuwa siwazi kupata ujauzito. Maana huku kwenye ndoa muda wowote unamwagiwa ndani, sipendi kukaa roho juu kabisaa. Niweke tena nikitumaini nitatulia miaka miwili mingine?
Nina shoga angu ameweka mda mrefu ila U.T.I inamsumbua mara Kwa mara japo anasema nikizur
 
Back
Top Bottom