Umewahi kumsaliti mume wako? Ulitumia njia gani kurudisha mahusiano yenu kama mwanzo?

Sarah mzuri

Member
May 27, 2023
43
138
Habari za weekend, Jamani wanawake mwenzangu naombeni ushauri.

Mimi ni mama nina umri wa miaka 38 nina watoto 3.

Kwa ufupi mimi na mume wangu tulikuwa tunaishi kwa furaha sana, tena furaha sana, tulikuwa kila weekend lazima tutoke out na kufanya shopping za kawaida tuu. Tulikuwa ni watu wa furaha na visuprise kibao, na zawaidi sana tuu.

Nakili kwa kusema mume wangu alinipenda sana, kuna kipindi alininunulia gari la Toyota vixz ni kadogo hivi.

Na alikuwa ananijazia mafuta full mimi ni kujimwaga na watoto wangu mpaka basi. Alikuwa ni mtu wa kunifanyia surprise mpaka basi, na nakili katika siku zote hizo mume wangu sijawahi hisi anafanya lolote lile baya kwangu. Alikuwa ni mume mzuri na baba mzuri tuu.

Sasa shida ilianza sehemu niliokuwa nafanya kazi kulikuwa na mkaka mmoja nilizoeana nae kama mfanya kazi mwezangu tuu, lakini akaanza kunitongoza ,mimi nikamwambia kuwa ni mke wa mtu nina ndoa yangu ila yeye hakujali, na wakati wote huwo sijawahi kumsaliti mume wangu hata siku moja.

Alinishawishi sana mpaka nikawa naona kelo, nikawa simjibu lolote alinisumbua kama 4 months hivi. Sasa siku moja aliniazima laptop yangu achukue movie, mimi napenda sana movie so nadownload kwenye pc yangu. Lkn alienda nayo nyumbani kwake.

Nikamwambia mbona umeondoka nayo akasema njoo uje kuchukua home coz mimi mwenyewe pc yangu niliiacha home.

Mimi si nakaenda bhana , baada ya kufika kwake akanikalibisha home kwake ni sehemu mzuri tuu. Lkn akaanza kama anataka sexy na yalikuwa majira ya 10 kasolo jioni maana ndo mda natoka ofisini.

Sasa kwa mda hule nilikuwa sijakutana na my hubby kama 1 week coz alikuwa anaumwa. Alivyonishawishi nilipatawa na hisia nikajikuja tunafanya ngono japo nashukuru alitumia condom maana alikuwa nazo home kwake.

Ukweli kuwa shughuli ilikuwa kubwa maana nilikuja kujishitukia ilikuwa ni saa 2 kasolo jioni. Nikiaangalia simu yangu nakuta nakuta missed call kama 8 za mume wangu na na sms 6, akiwa ananiuliza upo wapi mbona upokei simu , sms ya mwisho aliniambia tu ushaanza uhongo.

Nilishituka nikaamua kumwambia mume wangu ananitafuta si unaona akajibu ka mwambie tuu ulikuwa kwenye kikao.

Akaniambia oga kwanza ndo uwende home mimi nikaamua kuoga pale nimemaliza kuoga na chukua nguo kuvaa nakuta sketi na chup* yangu imeloa nikaja kujua kuwa ni uteute wa uk* maana alinishika shika na sehemu za nje ya uk* wangu na kuniingiza vidogo.

So uteute ulikuwa mwingi mpaka sketi ya niliyotoka nayo home ilikuwa imelowa kwa nyuma.

Nilijuta sana usiku ule na mda ulikuwa ni kama saa 3 kasoro hivi ndo natoka pale nikamtumia sms nakuja mume wangu akanijibu sawa.

Nafika home nikakuta geti limefugwa nikashuka kwenye gari najaribu kufungua limefugwa nampigia njoo ufungue geti haongei na anakata simu, kwenye gari nilikuwa na kanga so nikachukua kanga nikajifunika ili my hubby asione sketi iliyolowa kwa nyuma.

Siku ile nilikaa nje mpaka saa 6 ndo akaja kunifungulia geti, akaniambia alikuwa anasubiri watoto walale kwanza.

Sasa kwa mshituko nilibaki natetemeka sana naingia ndani sina ujasili kabisa akaniuliza ulikuwa wapi , mimi nikamjibu tulikuwa kwenye kikao ila sorry kipenzi sikukuambia , akaniuliza tena ulikuwa wapi na kikao kilifanyika wapi mimi si nikamwambia ofisini.

Kumbe yeye alikuja ofisi saa 12 jioni. Akakuta ofisi imefungwa, mume wangu ajawahi kunizaba kibao alinipiga kibao kimoja kikali sana.

Nilipiga kelele Sasa ile nainuka kanga si ikanivuka, mume wangu akaniona nyuma nimelowa.

Alinishika na mimi nilikuwa sitaki anikague ila kwa vile yeye ni mwanaume alinishida nguvu, na kufanikiwa kuniangali na akajua kuwa nimemcheat.

Akaniacha mimi kwenda chumbani nimerudi sebuleni nimechukua simu yangu sms imeingia ya jamaa yule ananiuliz mume wako kakuzingua na samahani sana kwa haliyotokea.

Ile sijamaliza naendela kuperuzi akanipokonya simu na kosoma sms nyingi , kisha akasibitisha kuwa nimemcheat.

Alinifukuza nje na siku ile nilikaa nje ya nyumba mpaka asubui.

Nilijitahidi kumwamba msamaha ilishindikana nikaenda kwa rafiki mmoja ni mama mtu mzima nikamueleza basi akaamua kwenda kwa mume wangu kuongea nae ila ilishindikana. Nakumbuka ofisini sikwenda kama 2 weeks hivi.

Mume wangu si akafikisha mpaka kanisani kuwa anataka kuvunja ndoa niliitwa na watumishi na na kujaribu kuweka sawa ila aliendeleza na nia ya kuniacha na yeye alidai kapata maumivu makali kwa sababu hajawahi kunicheat.

Ugomvi ulifika mpaka kwa wazazi wetu wote wawili, ofisini kwa kipindi kile nikawa naenda siku moja moja huku nalia kila siku, yule mwanaume aliniuliza nikamwambia ndoa yangu imeingia Dosali aliniomba msahama tuu.

Ugomvi uliendela kama miezi 8 hivi, yeye aliendeleza msimamo wake hule hule.

Nilimuomba msahama sana na nikamuahidi sitarudia tena. Na nilijuta sana.

Ila mwishowe alikubali kupokea ushauri wa wazazi wake kuwa tuishi tuu ili kulinda maslai wa watoto.

Na yeye akasema kuwa kazini ndo kulimpelekea yote hayo. Mwishowe tulikubaliana mimi niache kazi na kuwa mama wa nyumbani. Nilikubali kuacha kazi na kuwa mama wa nyumbani kazi ya 550,000 kwa mwezi niliiacha.

Baada ya hio kesi mume wangu alibadilika sana home , alinichukua gari, kutola out kuliisha , surprise na vizawadi vingi vilipotea , na hakuwa mtu wa furaha tena tangu siku ile.
Mpaka leo ni kitu najuitia sana kwa kile kulitokea na hata yule jamaa nilimwambia naacha kazi kwa sababu ya ndoa yangu kwa tukio lile. Aliniomba tuu msamaha.

Nilijaribu kumshawishi mume wangu ili arudi kwa aliyake ya kawaida ila nilishidwa , niliamua kuwa mke bora kwake , kuangaika kumfurahisha ila ilishindika. Hata Sasa kwenye yendo simuoni kama anaenjoy kama hapo mwanzo maana tukiwa kwenye tendo mume wangu alikuwa ni mtu wa kunifurahia sana mpaka kuna kipindi machozi yanamtoka kwa furaha ya tendo. Ila kwa sasa hakuna kabisa.

Sasa wanawake wenzangu ni ishu imetokea 3.5 years ago na imeniathili sana tena sana.
NAOMBENI USHAURI JAMANI NIMRUDISHE MUME WANGU HUYU.

NIMEJUTA SANA KWA LILE. USHAURI TAFADHARI.
 
Dada pole kwa yaliokukuta,
Kwa kawaida sisi wanaume tuna wivu sana kwa wake zetu.

Yani mume akijua mkewe analiwa na mtu mwingine daa tunapata maumivu makubwa sana.

Tena tunaweza tusisahau maishayetu yote.

" ni bola kuwa mchafu hata pia kuwa hujui kupika lakini si kwenda kutoa utamu kwa kidume kingine".

Kusahau ni MUNGU mwenyewe tuu ndo anaweza kutusaulisha.
Basi kama ndo hivyo basi mume mwenyewe awe mzizi sana ndo atachukulia kawaida.

Ndo maana wanawake wanaotuelewa sisi wanaume kuwa tunawivu sana akitaka kucheat.

Anakuwa makini sana, wengi wanategea mume labda awe amesafiri kikazi ndo anacheat.
Au wengi wanacheat Asubui au mchana.

Wanawake wanaocheat jioni na night ni wachache sana kwani mume wake ni rahisi kumsitukizia.

Pole dada, vumilia tuu.
" Mwanamke mpumbavu hubomoa nyumba yake kwa mikono yake mwenywe"
 
Aisee....kumbe huko makazini mnaliwa tuu kirahisi hivyo.
Kwanza huyo mume wako naye bewege.

Ssa anakasirika nini mke kwenda nje...sii anaonja de libolo tofauti.

Ebu mwambie aache ushamba bwana. Karne ya sasa haya mambo ya kuchapiwa vitu easy tuu.

Ni kukaa chini na kuulizana sasa bby umejifunza style gani mpya huko
 
Pole dada,usitegemee jipya ushaharibu labda usubiri Mungu tu aingilie kati.

Shetani huwa anacheza na ndoa zilizotulia kuhakikisha anazimaliza.

Hapa cha muhimu ni wewe kuendelea kuwa kama ulivyokuwa zamani na acha kuweka sana kichwani mabadiliko yake mara kuanza kuangalia anavyofanya mapenzi sio kama zamani.

We kaa kwa kutulia usitegemee akuamini tena?muache apone jeraha lake taratibu usitake kulazimisha mambo.
 
We sio kwa mke tena ambaye ulikuwa unamwamini,hamna mwanamme anapenda kuchapiwa,watu wanalawitiwa,watu wanauwawa kisa mwanamke.
Aliyesema mke wa mtu sumu unadhani alikuwa mjinga?
Yaani wee midume ukamlawiti mwanaume mwenzio kisa mkeo kapanua mapaja mwenyewe huko ni kukosa akili.

Pili ni ujinga kujidanganya kwamba mwanamke ambaye unamuoa akiwa breki pumbuz kwamba hatachepuka.

Thats just being unrealistic. Ukweli ni kwamba wengi wetu tupo kwenye ndoa lakini hatuna sifa kuu ya kuwa kwenye ndoa.

Haya sasa akimwacha huyo mke wake ataenda kwa mwanamke mwenginnaye huyo akitombwer atamuacha sasa sii bora tu asioe awe anageheda tuu kama mzabzab
 
Hata mimi tu siwez kumsamehe mke akichepuka, ni bora mngeachana tu ile mwanzo.

Siku ukiteleza ukafanya kosa jingine jamaa atakumaliza huyo, hasira zake hazijaisha hata kidogo.

Kama ni watoto mtalea tu hata mkiwa mbalimbali ili kulinda uhai wenu.
 
Nina karibia mwaka Sasa bado nauguza maumivu ya usaliti, sikumkamata ugoni lakini Nina recoding za mazungumzo yao, nilivurugwa kishenzi mpaka nusu tuachane.

Bado tunaishi lakini mashaka yangu hayajakoma.
Maumivu ya usaliti yasikie tu kwa wengine, sisi Wanaume tuna wivu wa hatari.
 
Ndiyo maana nawashangaa wanawake mnaoingia kwenye ndoa. Unawezaje kulala na mtu mmoja tu muda wote??

Kuwa huru, ishi huru, ishi peke yako ili uchague nani wa kulala naye, ubadilishe ladha na aina ya ddyudyu.

Ushauri wangu kwako. Badilisha staili ya kungonoka, anza kumpa tigo, fanya BJ na uwe unameza shahawa zake, "mbuzi kagoma kwenda" kwa sana na badilisha miguno. Utanishukuru.
 
Nina karibia mwaka Sasa bado nauguza maumivu ya usaliti, sikumkamata ugoni lakini Nina recoding za mazungumzo yao, nilivurugwa kishenzi mpaka nusu tuachane. Bado tunaishi lakini mashaka yangu hayajakoma.
Maumivu ya usaliti yasikie tu kwa wengine, sisi Wanaume tuna wivu wa hatari.
Mkeo alifanyaje ulipojua kuwa amekusaliti karibu dear nipate experience, kama itakuwa shida njoo hata pm tuzungumze nipate kujifunza dear.
Natamani sana tuwe kama mwanzo.
Nisaidie friend. Please hata pm sawa
 
Nina karibia mwaka Sasa bado nauguza maumivu ya usaliti, sikumkamata ugoni lakini Nina recoding za mazungumzo yao, nilivurugwa kishenzi mpaka nusu tuachane. Bado tunaishi lakini mashaka yangu hayajakoma.
Maumivu ya usaliti yasikie tu kwa wengine, sisi Wanaume tuna wivu wa hatari.
Sasa kwa nini unaishi nae kama bado unamashaka nae sii ufukuze tuu ulete pisi mpya mwanawane
 
Back
Top Bottom