Zionist
JF-Expert Member
- Dec 5, 2017
- 1,870
- 3,014
Haya ndugu..[emoji851][emoji851]hahhahha... kabisa Mkuu
Haya ndugu..[emoji851][emoji851]hahhahha... kabisa Mkuu
Nakusihi sana usisikilize tumbo, mdomo wala macho kwani vitakupotosha, badala yake sikiliza ubongo wako ukikwambia _"Prof. Jannabi
tunahitaji vyakula vyote mwilini shida ni kiasi ex.-2kgs ya nyama kwa wiki.Kaka nimekuelewa Ila sasa katika Jamii zetu hzi tunawezaje kuepuka vyakula vya wanga maana ndio vimejaa kila kona...
Mtu anaweza kujitahidi kula mboga za Majani na matunda Ila wanga lazima tu utazidi na maisha yetu haya dah,Kuna muda diet ni ngumu mno kuzifuata aisee.
Dada shemeji...majukum plus kulea. Siku hizi simu anashinda nayo p. Si unajua watoto tena mara aipigize mara aiangushe. Ukimnyang'anya tuu ugomvi...Kaka shemeji kwanini unapotea hivyo?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Dada shemeji...majukum plus kulea. Siku hizi simu anashinda nayo p. Si unajua watoto tena mara aipigize mara aiangushe. Ukimnyang'anya tuu ugomvi...
Si jui ni kwa sababu ni jf product. ???
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kilichobaki umfungulie tu account na yeye humu.
Mmehamia kwenye vitambi vyetu tena [emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]
Kama ulivyoharibu wa wenzio lazima na yeyr wamuharibu tu[emoji85][emoji85][emoji85]Hahaha huku sitaki kabisa azoee. Watamharibu mapemaa.
Vip lakin...? Siku nyingi zimepita..
Wakikua watajua raha bwana babe akiwa anakuchezea chezea kitambi chako si eti baba pHawajui raha ya vitambi hao
Jaribu mama asubuhi kabla hujaweka kitu chochote tumboni kama home kuna kamba unaluka hata nusu saa
Aisee sorryMh mie kidume rafiki!!
tunahitaji vyakula vyote mwilini shida ni kiasi ex.-2kgs ya nyama kwa wiki.
-bia mbili ikizidi tatu,mara mbili ikizidi mara tatu kwa wiki.
jeeeeeee!????? tunafata iyooooo!!!! Mbaya zaidi NO mazoezi
Mmehamia kwenye vitambi vyetu tena [emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]
Aisee sorry
Watu tulijua ww KeMh mie kidume rafiki!!
Watu tulijua ww Ke