Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 72,402
- 191,524
Umenikumbusha mwanangu mmoja anaitwa samwel! Ha ha enz tuko chuo alikuwa anajivunia sana kitambi chake anakiita cha kufutia simuKipo cha kufutia simu [emoji1][emoji1][emoji1]
Umenikumbusha mwanangu mmoja anaitwa samwel! Ha ha enz tuko chuo alikuwa anajivunia sana kitambi chake anakiita cha kufutia simuKipo cha kufutia simu [emoji1][emoji1][emoji1]
Hahah ni mtihani sana hapo, kuzishinda force za kula mdudu si mchezo!Mzee Baba mie Nyama choma na kitimoto zinaangusha sana jitihada zangu za kupunguza kitambi..
Nimejitahidi sana ku control masuala ya Ma beer na Soda ila hzi Nyama karibia kila siku aisee.
Bia na wine kipi kina nafuu ?Yeah hatari kweli kweli hasa processed sugars kama za soda ndio noma ukiacha zile za beer zinazotokana na wanga.
Ndio maana wanaokula beer na nyamachoma wanapata vitambi sana.
Hata mie changu kilianza kuja baada ya kujibidiisha kugida serengeti lite na nyamachoma. Asubuhi naamkia supu ila sasa nimejitahidi kujiondoa kwenye ratiba hio mambo sio mabaya. Futa linakatika taratibu na usiku sili sana nakula mboga nyingi chakula kidogo.
Ndio ninacho mimi kwa sasaUmenikumbusha mwanangu mmoja anaitwa samwel! Ha ha enz tuko chuo alikuwa anajivunia sana kitambi chake anakiita cha kufutia simu
Wine atleast, haituami tumboni kama beer. Inasepa directly kwenye kibofu na damuni.Bia na wine kipi kina nafuu ?
Hahah ni mtihani sana hapo, kuzishinda force za kula mdudu si mchezo!
Basi ngoja nikomae nazo hizo hizoWine atleast, haituami tumboni kama beer. Inasepa directly kwenye kibofu na damuni.
Unaowaambia wakiacha kutoka vitambi basi na biashara ya chipsi kuku na nyama choma nayo inakufaNawasalimu
CAG naona hili hajaliona yaani sijui kuna shida gani..Nichukue nafasi hii kuwashauri maana mimi ukiwa na kitambi nakupiga chini.
Kuleni kistaarabu sasa unatoka na mamzi anaagiza chipsi mayai mishaki mitatu sosegi mbili na kuku nusu anasema afungiwe seriously..
Aya kama haotoshi mnatoka apo bidada unakuta anapiga bia zaidi yako..no way lazima likitambi lije..Alafu bora angekuwa anafanya mazoezi.
Msipoolewa mnasema hamna bahati.Badilikeni bhana la sivyo mtaishia kuzalishwa na kuachwa.
Asante mno jamanii...Hahah Gemini kumbe una flat tummy,,,hongera sana mama
@joanah: lete ushahidi wa picha la tumbo lako, vinginevyo unajipigia promo, ila ntakuja PM usinitenge..Kuwa na kitambi ni asili ya mtu tu
Mimi hata nile vipi ama ninenepe namna gani tumbo haliji kabisaaa...na wala sio mtu wa mazoezi
Wewe kama sio mtu wa kuoa usioe ,usisingizie vitambi
Wanaume asili yetu wala haishangazi... mi hua nashangaa wanawake wa kizungu unakuta anawatoto wakubwa kabisa lkn ukimuona kama hajawahi kujifungua yupo smart kila kona labda kovu la kuongezwa njia tu ila mwanamke wa kibantu akishazaa tu basi anakua bibi
Nimemsikia dr. wa lishe 2kg/week but nilipoenda google nikaambiwa chini zaidi nikakata tamaa.kiwango kinachotakiwa na mwili ambacho ukizidi umeanza faulo,mbaya zaidi faulo nila mazoezi
Sio kweli, kitambi cha mwanamke ni makalio yake na mapaja.Kitambi ni asili ya mtu kwanza sikuhizi sio wanawake tu hadi wanaume matumbo kama vifurushi
belly fat ni kitambi tu bossHapana mzee sio vitambi, ni Bell fat hiyo. Inaweza ondolewa kama atakuwa na utaratibu wa kufanya mazoezi mara kwa mara.
Wafuturishe maskini kwani ina thawabu zaidi [emoji1284]Wanafuturisha bana
Jamaaaniii kitambi hakipendezi mamito,Kwa urembo ulio kuwa nao kapeace hata ungekuwa na kitambi unavutia mno
Utakua umezaa miaka mingi iliyopita
"You are what you eat"Mzee Baba mie Nyama choma na kitimoto zinaangusha sana jitihada zangu za kupunguza kitambi..
Nimejitahidi sana ku control masuala ya Ma beer na Soda ila hzi Nyama karibia kila siku aisee.