Wanawake wenye vitambi wamezidi kuongezeka...

Wanawake wenye vitambi wamezidi kuongezeka...

Kama unanipa hamasa hvi...Hebu ngoja tuone itakavyokuwa.
Hahaha hahaha
Wewe ushajikubali bana! Mimi nisipochomekea sioni utamu wa suruali ama miniskirt... Imagine uchomekee na kitambi!.
Jitahidi bana
 
Nina mwaka wa pili nahangaika kutoa huu mtambi na bado umenigomea..Nimeamua kufanya mambo mengine...
Mkuu hapo wala hata usihangaike na mazoezi saaaaana, ni misosi tuu ndo uirekebishe. Punguza kula nyama, bia, soda, processed foods & drinks na mi vyakula mingi ya wanga. Pendelea kula matunda, mboga nyingi, ugali dona au wali kidogo, white meat, viazi, asali, mafuta kama ya alizeti n.k, achana na masupu na ma vitafunwa meengi yalokaangwa asubuhi ..unaweza piga ndizi zako tatu au nne ukatulia. Pata maji ya kutosha. Tatizo wenye vitambi wengi wao wanakua na apetite kubwa saana muda mwingi huhitaji kula kula sasa hapo ndo unahitaji kuji control. Swala ni kupunguza kalories tunazoziingiza kwanza kwa chakula mwilini kabla ya kufikilia namna ya kuzi burn through mazoezi. Ukiweza tuu kua na nidhamu ktk kula inaweza kukutolea huo mtambi bila hata kwenda gym kila siku.
 
Hahahah unategemea mamzi umtoe out akaagize ugali tembele babu? Ataagiza K'moo tu hamna namna
Ukitoka nae out hakikisha anakula ugali kdg na mboga za majani bila nyama, kama analewa mpatie spirit, Gin au whiskey na Coke bariidi kabisa..

Ukimuachia aagize utasikia kitomoto kilo moja, ndizi 6 na chips kidogo usisahau na chachandu. Utadhania anakula baada ya hapo anaenda kufungwa jela
 
Matunzo yanachangia we mtu umetoka kujifungua una mawazo gunia nzima kingine baadhi ya wanawake wengi hatuna utamaduni wa kufanya mazoezi.
Mawazo yanini badala ufurahi umevuna ulichopanda sasa unaanza kuwaza jamaa atahamia nyumba ndogo kupunguza mbegu zake lea mtoto kwa furaha hachelewi kukua utarudi kwenye ramani
 
Mkuu hapo kwenye appetite ndio umegusa penyewe kabisa. ..Shukrani nitafanyia kazi ushauri wako.
Mkuu hapo wala hata usihangaike na mazoezi saaaaana, ni misosi tuu ndo uirekebishe. Punguza kula nyama, bia, soda, processed foods & drinks na mi vyakula mingi ya wanga. Pendelea kula matunda, mboga nyingi, ugali dona au wali kidogo, white meat, viazi, asali, mafuta kama ya alizeti n.k, achana na masupu na ma vitafunwa meengi yalokaangwa asubuhi ..unaweza piga ndizi zako tatu au nne ukatulia. Pata maji ya kutosha. Tatizo wenye vitambi wengi wao wanakua na apetite kubwa saana muda mwingi huhitaji kula kula sasa hapo ndo unahitaji kuji control. Swala ni kupunguza kalories tunazoziingiza kwanza kwa chakula mwilini kabla ya kufikilia namna ya kuzi burn through mazoezi. Ukiweza tuu kua na nidhamu ktk kula inaweza kukutolea huo mtambi bila hata kwenda gym kila siku.
 
Mkuu hapo wala hata usihangaike na mazoezi saaaaana, ni misosi tuu ndo uirekebishe. Punguza kula nyama, bia, soda, processed foods & drinks na mi vyakula mingi ya wanga. Pendelea kula matunda, mboga nyingi, ugali dona au wali kidogo, white meat, viazi, asali, mafuta kama ya alizeti n.k, achana na masupu na ma vitafunwa meengi yalokaangwa asubuhi ..unaweza piga ndizi zako tatu au nne ukatulia. Pata maji ya kutosha. Tatizo wenye vitambi wengi wao wanakua na apetite kubwa saana muda mwingi huhitaji kula kula sasa hapo ndo unahitaji kuji control. Swala ni kupunguza kalories tunazoziingiza kwanza kwa chakula mwilini kabla ya kufikilia namna ya kuzi burn through mazoezi. Ukiweza tuu kua na nidhamu ktk kula inaweza kukutolea huo mtambi bila hata kwenda gym kila siku.
Fact 👏👏👏
 
Vyote hivyo natumia ila sipati kitambi

Ni asili ya mtu tu
Protien haileti kitambi hata siku moja, sukari, wanga na mafuta ndio vinavyoleta kitambi.

Ukianza diet ya kula protien vegetables na maji mengi ukakata sukari na mafuta ndani ya miezi 6 tu watu wanaweza sema umeathirika na ukimwi! It removes all the excess fats za tumboni sema na tako pia litaisha.
 
Protien haileti kitambi hata siku moja, sukari, wanga na mafuta ndio vinavyoleta kitambi.

Ukianza diet ya kula protien vegetables na maji mengi ukakata sukari na mafuta ndani ya miezi 6 tu watu wanaweza sema umeathirika na ukimwi! It removes all the excess fats za tumboni sema na tako pia litaisha.
Hahaha hahaha hahaha
Eti tako litaisha, wewe sio mzima ujue
 
Protien haileti kitambi hata siku moja, sukari, wanga na mafuta ndio vinavyoleta kitambi.

Ukianza diet ya kula protien vegetables na maji mengi ukakata sukari na mafuta ndani ya miezi 6 tu watu wanaweza sema umeathirika na ukimwi! It removes all the excess fats za tumboni sema na tako pia litaisha.
Hahahahh
Yeah,ni kweli ila nilikuwa najua na protein inaongeza mwili
 
Back
Top Bottom